TCRA kama bado mna Meno yenu Makali natumaini hiki nilichokisikia leo kutoka Wasafi FM mtawaadhibu upesi

TCRA kama bado mna Meno yenu Makali natumaini hiki nilichokisikia leo kutoka Wasafi FM mtawaadhibu upesi

..ww ndo ilibidi ufungiwe na jf sbb ya lugha yako chafu n majibu yako machafu.....hichi kidume kizima kinakuja kushtaki kama demu aliyetongozwa..... umepanic enheee??.....
 
Nina uhakika kuanzia Sheria za nchi na hata za Utangazaji hadi zenu nyie TCRA haziruhusu Kituo chochote kile cha Redio kupiga Wimbo ambao / Nyimbo ambazo ndani yake kuna Matusi makubwa makubwa yanatajwa hata kama hayatajwi kwa Lugha ya Kiswahili na yanatajwa kwa Lugha ya Kiingereza ambayo bahati nzuri Watanzania wengi sana Siku hizi si tu wanaijua bali wanaimudu pia.

TCRA Mzukulu ninawataarifu kuwa leo Jioni kati ya Saa 12 na dakika 31 hadi na dakika 33 Disk Joker ( DJ ) aitwae Delvic ( kama nimelikosea mnaolijua mtalirekebisha ) aliupiga Wimbo wa Kizungu ambao ndani ya huo Wimbo mara mbili nikalisikia Tusi Kubwa sana ashakum si Matusi la Mother Fucker na nikaanza Kujiuliza je, huyo DJ alikuwa amepitiwa au labda anatutukana Sisi Wasikilizaji wake?

Sijali kama Wasafi FM kama Media hadi Wapenzi ( Mashabiki ) Wao watanichukia Mzukulu kwa Kuwasema na Kuwasemea hivi kwa TCRA na Wadau hapa Jamvini JamiiForums, ila Mimi ni Muumini mkubwa wa Nidhamu na Maadili hivyo ni Matuamini yangu makubwa TCRA wataliangalia na Kulichunguza hili Kiundani kisha Sheria Kali zichukuliwe ili Kurekebisha Upuuzi huu.

Radio DJ makini wote wa huwa wanakuwa Makini mno katika Kucheza Nyimbo kwa Wasikilizaji Wao na siyo Kuruhusu Matusi ya Mother Fucker.
Wasafi hata wao wenyewe huimba matusi dhahiri
 
Kwa nn ni tusi?

Utasema taboos

Je mavaz hayo ya kisasa kwenye tv?

Unawataka wachukue hatua kwenye maneno je vitendo vya kujamiiana kwenye movies? Au si kosa?

Maudhui ni hoja pana na lazima ilenge hadhira

Kwako wewe si tusi isipokuwa watoto
 
Nina uhakika kuanzia Sheria za nchi na hata za Utangazaji hadi zenu nyie TCRA haziruhusu Kituo chochote kile cha Redio kupiga Wimbo ambao / Nyimbo ambazo ndani yake kuna Matusi makubwa makubwa yanatajwa hata kama hayatajwi kwa Lugha ya Kiswahili na yanatajwa kwa Lugha ya Kiingereza ambayo bahati nzuri Watanzania wengi sana Siku hizi si tu wanaijua bali wanaimudu pia.

TCRA Mzukulu ninawataarifu kuwa leo Jioni kati ya Saa 12 na dakika 31 hadi na dakika 33 Disk Joker ( DJ ) aitwae Delvic ( kama nimelikosea mnaolijua mtalirekebisha ) aliupiga Wimbo wa Kizungu ambao ndani ya huo Wimbo mara mbili nikalisikia Tusi Kubwa sana ashakum si Matusi la Mother Fucker na nikaanza Kujiuliza je, huyo DJ alikuwa amepitiwa au labda anatutukana Sisi Wasikilizaji wake?

Sijali kama Wasafi FM kama Media hadi Wapenzi ( Mashabiki ) Wao watanichukia Mzukulu kwa Kuwasema na Kuwasemea hivi kwa TCRA na Wadau hapa Jamvini JamiiForums, ila Mimi ni Muumini mkubwa wa Nidhamu na Maadili hivyo ni Matuamini yangu makubwa TCRA wataliangalia na Kulichunguza hili Kiundani kisha Sheria Kali zichukuliwe ili Kurekebisha Upuuzi huu.

Radio DJ makini wote wa huwa wanakuwa Makini mno katika Kucheza Nyimbo kwa Wasikilizaji Wao na siyo Kuruhusu Matusi ya Mother Fucker.
Wewe umesikia redioni mimi nilimuona mtu amevaa fulana iliyoandikwa neno zaidi ya hilo, ukweli ni kuwa watanzania wengi siku hizi hawakijui kiingereza.
 
Motherfcuker,Bitch*s,N*ggas,Di*k,P*ssy,Ass,Sh*t,,,Yote hayo Clouds FM huwezi kuyaskia
 
Nina uhakika kuanzia Sheria za nchi na hata za Utangazaji hadi zenu nyie TCRA haziruhusu Kituo chochote kile cha Redio kupiga Wimbo ambao / Nyimbo ambazo ndani yake kuna Matusi makubwa makubwa yanatajwa hata kama hayatajwi kwa Lugha ya Kiswahili na yanatajwa kwa Lugha ya Kiingereza ambayo bahati nzuri Watanzania wengi sana Siku hizi si tu wanaijua bali wanaimudu pia.

TCRA Mzukulu ninawataarifu kuwa leo Jioni kati ya Saa 12 na dakika 31 hadi na dakika 33 Disk Joker ( DJ ) aitwae Delvic ( kama nimelikosea mnaolijua mtalirekebisha ) aliupiga Wimbo wa Kizungu ambao ndani ya huo Wimbo mara mbili nikalisikia Tusi Kubwa sana ashakum si Matusi la Mother Fucker na nikaanza Kujiuliza je, huyo DJ alikuwa amepitiwa au labda anatutukana Sisi Wasikilizaji wake?

Sijali kama Wasafi FM kama Media hadi Wapenzi ( Mashabiki ) Wao watanichukia Mzukulu kwa Kuwasema na Kuwasemea hivi kwa TCRA na Wadau hapa Jamvini JamiiForums, ila Mimi ni Muumini mkubwa wa Nidhamu na Maadili hivyo ni Matuamini yangu makubwa TCRA wataliangalia na Kulichunguza hili Kiundani kisha Sheria Kali zichukuliwe ili Kurekebisha Upuuzi huu.

Radio DJ makini wote wa huwa wanakuwa Makini mno katika Kucheza Nyimbo kwa Wasikilizaji Wao na siyo Kuruhusu Matusi ya Mother Fucker.
Hao watu kama kufunguwia ni siku nyingi, matusi mbona kila siku yanaimbwa humo na watu wapo tu, DG yupo, waziri yupo, au BAKITA wapo tu au nakosea ndugu zangu?
 
Back
Top Bottom