Nilishasema humu, kati ya taasisi zinazoongozwa na vilaza nchini ya kwanza ni TCRA, kuanzia ngazi za juu jamaa ni kilaza balaa hadi mtu wa mwisho anayefagia majengo yao. Those guys msitegemee watakuja na solutoins innovative hata siku moja, wanalipwa mshahara wameridhika basi. So stupid.
Wana kale ka tabia ka mtu anaamka anaenda ofisini na proposal, anauliiza kwani watu wanakua na line nyingi kwa sababu ipi hasa, si tufunge tu, wenzake wanasema "ndiyo" basi wanafunga, kiutani utani tu hivyo. Makalio kabisa