TCRA kulazimisha laini moja tu kwa kila mtandao kwa Raia si sahihi!

TCRA kulazimisha laini moja tu kwa kila mtandao kwa Raia si sahihi!

Na kwa bahati mbaya sana wananchi hao "bendera fata upepo" wanaujua upepo mmoja tu wa CCM.

Hivi uliliwaza hilo ulipokuwa unaandika maneno hayo, maanake inaonekana wewe ni CCM damu damu!

Hebu jaribu kuwahimiza wananchi hao waache hiyo tabia ya kuwa "fata upepo" - ukiweza hilo, nitaungana nawe katika yote uliyoandika hapo juu.

labda tukuuliza unataka laini zaidi ya moja ili ufanyie nn kwenye hio laini ingine ambapo hio ingine imeshindwa kufanya?
 
Kwani mtu akiwa na laini zaidi ya moja za mtandao huo huo shida inatoka wapi as long as he is duly registered! ?

Kuna watu wanatumia devices tofauti tofauti kwa ajili ya mawasiliano na internet!

Unahitaji ku connect laptops, computers, simu zaidi ya moja nk.

Badala ya kwenda mbele katika kutumia fursa za utandawazi, magufuli yuko bize kuturudisha chattle enzi za ujima 987 BC!

Inafikirisha sana! Huyu mzee ana ajenda gani iliyojificha nyuma ya huu uovu wake wote?

He is extremely busy creating troubles all over the place!

Niseme tu kwamba, huyu mzee kama hana nia ovu, basi ana ushamba usiomithilika!



Sent using Jamii Forums mobile app

na nyie sasa mmezidi, kila kitu magufuli! its too much sasa
 
Juzi nikiwa katika viunga vya bunge na baadhi ya maafisa wa serikali, kuna jambo la ajabu sana nilisikia eti ule uvumi ulio kuwepo mwanzo kwamba raia hata ruhusiwa kusajili laini zaidi ya moja ni uhalisia.

Nikajiuliza lengo hasa ni nini?

Kama nina laini 100 na zote nimesajili kwa vidole tatizo lipo wapi?

Akili vs matope?

TCRA imesema lengo la kusajili kwa vidole na vitambulisho vya NIDA ni kukabiliana na ujambazi na uhalifu, sasa swala la laini moja linatoka wapi?

Nilimweleza mbunge mmoja, anatokea mkoa Kagera kwamba ajaribu kuishauri Serikali kuachana na issue ambazo hazina manufaa na zinaloleta usumbufu na maisha magumu kwa wananchi.

Mnataka wote tuwe na maisha ya gerezani?


Labda ungeiweka vizuri ile ya sheria na kanuni kukataza mtu kumiliki SIMCARD zaidi ya moja...

Kanuni inasema "MTU haruhisiwi kumiliki SIMCARD za mtandao mmoja zaidi ya moja. Msisitizo na point ni kwenye bold hapo...

Hata hivyo bado ni makosa tu kwa sababu haina maana yoyote. Kama mtu ana uwezo wa kuzitumia zote, aachwe amiliki tu so long as amezisajili kwa NIDA

After all, kufanya hivyo ni kuziwekea restrictions zisizo na maana kampuni za simu kufanya biashara...

Na kwa mtu binafsi, inamsaidia yeye mwenyewe binafsi kuwa na privacy maana kuna SIMCARD nitakayopenda na kuiweka public lakini zingine zitakuwa maalumu kwa watu maalumu tu....

Kanuni hii inaweza kuwa mbaya kwa kuwa inaingilia Uhuru na privacy za watu!!
 
na nyie sasa mmezidi, kila kitu magufuli! its too much sasa

It's not too much to mention him...

And, for sure, he's the one leading the government at least for now...

If he sees that, his name is being "too much" mentioned in everything, then, he has just one option.....to quit and disappear forever in our government businesses..!!

By doing so, he won't be mentioned anymore...!!
 
Juzi nikiwa katika viunga vya bunge na baadhi ya maafisa wa serikali, kuna jambo la ajabu sana nilisikia eti ule uvumi ulio kuwepo mwanzo kwamba raia hata ruhusiwa kusajili laini zaidi ya moja ni uhalisia.

Nikajiuliza lengo hasa ni nini?

Kama nina laini 100 na zote nimesajili kwa vidole tatizo lipo wapi?

Akili vs matope?

TCRA imesema lengo la kusajili kwa vidole na vitambulisho vya NIDA ni kukabiliana na ujambazi na uhalifu, sasa swala la laini moja linatoka wapi?

Nilimweleza mbunge mmoja, anatokea mkoa Kagera kwamba ajaribu kuishauri Serikali kuachana na issue ambazo hazina manufaa na zinaloleta usumbufu na maisha magumu kwa wananchi.

Mnataka wote tuwe na maisha ya gerezani?

An alarmist....hakuna kitu kama hicho...acha kusambaza taarifa zisizo sahihi
 
Mnaokomenti msilishwe maneno ya hovyo serikali ishalitolea ufafanuzi Jambo hili ni kuwa uwe na laini moja kwa mtandao mmoja.

Nyie ropokeni tu hapa kwa kumfuata mtoa mada mnaendekeza ukilaza haingii akili hata kama viongozi wetu wameishiwa utafakari huku ni sawa na kuwatukana viongozi na wengine mnashabikia kwa kitu si kweli!!!

Hili taifa lina wananchi bendera fata upepo.
Soma sheria imeambatanishwa hapo juu. Mtandao mmoja line moja, kwa matumizi binafs. Manake unaweza kuwa na line moja moja kwa kila mitandao kwa mitandao yote. La uombe kibari TCRA.
 
Sheria iko wazi,kwa individual Ni line moja tu,labda uwe na machine Kama computer, tablet etc ndo unaruhusiwa nne maximum Kama sikosei kea ajili ya machine to machine communication,na Happ mpaka utoe maelezo,
Tunaongelea individual to individual communication mfano umesajili laini ukampa Bibi kijijini,housegal etc Ni marufuku
Sawa

Ila ingekuwa kila mtu amsajilie ndugu, bibi, shangazi etc NIDA isingekuwa na maana yoyote uwepo wake.

Au mkuu unaona wamekosea kusema ni marufuku kumsajilia ndugu, jamaa na marafiki?
 
na nyie sasa mmezidi, kila kitu magufuli! its too much sasa
Ulitaka tumtaje nani kama sio magufuli?

Hata watunga sheria (ofisi nzima ya mwanasheria mkuu wa serikali) wanamhusudu magufuli na kuabudu kila neno analolisema!

Miswada, sheria na kanuni zote zinatungwa kulingana na matamko ya magufuli!

Maudhui ya sheria nyingi yanaakisi matamko ya magufuli. Ukiitizama sheria unaiona sura ya magufuli kwa ndani.

Mzee wa matamko haramu ameshajaza matatizo katika sheria za nchi inafika hatua mahakama inafanya kazi usiku na mchana kuzifutilia mbali kwa kuwa zinapingana na Katiba!

Mawakili na wanasheria wanataabika usiku na mchana kwenye korido za mahakama kuzing'oa sheria zake haramu!

Day in day out! Uking'oa hii analeta nyingine... kabla hujamaliza hii karudi na rungu la TCRA... hujamaliza huku mara kaja na fingerprints.

He is such a trouble maker! A NUISANCE!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni kupotosha watu kwa taarifa zisizo sahihi Kisha mnamsingizia ccm! We vyovyote utakavyoniona ni
Mkuu Mimi ni kenge wewe je..?
Ungeweka "taarifa sahihi" ningeheshimu sana mchango wako hata kama sikubaliani nao.
 
labda tukuuliza unataka laini zaidi ya moja ili ufanyie nn kwenye hio laini ingine ambapo hio ingine imeshindwa kufanya?
Hilo halikuhusu wewe, linamhusu huyo anayetaka zaidi ya 'laini' moja, ali mradi havunji sheria yoyote na hiyo laini ya ziada.

Kwa nini wewe uchukue jukumu la kuamulia watu wengine mambo wanayotaka kuyafanya kama sio kinyume cha sheria?

Wewe, au hao TCRA ndio wenye jukumu la kueleza kwa nini mtu asiwe na zaidi ya laini moja, na watunge sheria kabisa kama inahusu mambo hatarishi yoyote.
 
Hawa TCRA wajitathmini kwanza wanapokuja na mipango yao kwa wananchi, tatizo la ving'amuzi vya TV hawajalimaliza mpaka sasa kuna baadhi ya ving'amuzi haina free channels, na wameshindwa kudeal nao, sasa tena mambo ya laini moja,

je viwango vya kupiga simu na huduma nyingine zote vitakuwa sawa mitandao yote?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa

Ila ingekuwa kila mtu amsajilie ndugu, bibi, shangazi etc NIDA isingekuwa na maana yoyote uwepo wake.

Au mkuu unaona wamekosea kusema ni marufuku kumsajilia ndugu, jamaa na marafiki?
Kiuhalali sio sawa
 
Hii sheria imetungwa lakini naamini walitunga na kupitisha hawakuiangalia kwa mapana.

1.Sheria hii itaathiri Sana makampuni ya Simu,yatapoteza wateja kwa asilimia kubwa Sana,yatapoteza mapato mengi Sana.Baada ya hapo titarajie UPUNGAZAJI Wa wafanyakazi,wananchi wengi kuathirikia kwa gharama za mawasiliano kuongezwa.

2.Serikali itapoteza .mapato mengi ya kodi na tozo mbalimbali kutoka kwenye sekta ya mawasiliano,hali katika sekta ya mawasiliano itakuwa mbaya zaidi.

3.Makampuni ya Simu kuingia katika kipindi kigumu cha uendeshaji,mwisho Wa siku tutegemee makampuni baadhi kushindwa kujiendesha na kufungwa.


Hebu tuchukulie mfano,VODACOM wana wateja 10M+ kufikia hiyo idadi kuna wateja wana line zaidi ya moja,je sheria hii haitawaathiri Vodacom?

Mfano Wa pili,Mimi Nakapanya,Nina vibanda vyangu vya huduma za kifedha sehemu tofauti tofauti,he Leo Hi sheria hii haiwezi kuniathiri?

Mwisho ningependa kuishauri serikali iache kufikiria vitu rahisi,ifikirie vitu vitakavyotusogeza mbele,hivi vitu rahisi siyo kipaumbele chetu.

NAKUPENDA TANZANIA
 
Imesema mawazo yangu.. kinacho takiwa ni afadhali waweke sheria ya mtu kuto tumia laini ambayo haijasajiliwa kwa jina lake lililo kwenye kitambulisho cha nida.
Hii sheria imetungwa lakini naamini walitunga na kupitisha hawakuiangalia kwa mapana.

1.Sheria hii itaathiri Sana makampuni ya Simu,yatapoteza wateja kwa asilimia kubwa Sana,yatapoteza mapato mengi Sana.Baada ya hapo titarajie UPUNGAZAJI Wa wafanyakazi,wananchi wengi kuathirikia kwa gharama za mawasiliano kuongezwa.

2.Serikali itapoteza .mapato mengi ya kodi na tozo mbalimbali kutoka kwenye sekta ya mawasiliano,hali katika sekta ya mawasiliano itakuwa mbaya zaidi.

3.Makampuni ya Simu kuingia katika kipindi kigumu cha uendeshaji,mwisho Wa siku tutegemee makampuni baadhi kushindwa kujiendesha na kufungwa.


Hebu tuchukulie mfano,VODACOM wana wateja 10M+ kufikia hiyo idadi kuna wateja wana line zaidi ya moja,je sheria hii haitawaathiri Vodacom?

Mfano Wa pili,Mimi Nakapanya,Nina vibanda vyangu vya huduma za kifedha sehemu tofauti tofauti,he Leo Hi sheria hii haiwezi kuniathiri?

Mwisho ningependa kuishauri serikali iache kufikiria vitu rahisi,ifikirie vitu vitakavyotusogeza mbele,hivi vitu rahisi siyo kipaumbele chetu.

NAKUPENDA TANZANIA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiuhalali sio sawa
Sawa

Ila serikali wapo sawa kiulinzi na kiusalama na kupunguza lawama kama Fraud zikitokea iwe mwenye jina uhusika awe responsible sio bibi, babu au shangazi.

Ndio umemsajilia kaka yako kwa mfano halafu simcard imefanya utapeli utakubali kuhusishwa na kesi
 
Nadhani hujaelewa.

Tatizo hapa kwanini laini moja kwa mtandao?

Je laini moja kwa mtandao itapunguza fraud?

Na kama hii ndio itapunguza fraud, kuna haja gani ya kusajili laini kwa vidole na nida?

Je hawaoni jambo hili litaleta tatizo kitaifa kwa maana kwamba Watanzania watapoteza ajira, serikali itakosa mapato?


Kwanini serikali inajioita kuweka mapingamizi badala ya kuwezesha sector binafsi?

Je TTCL ingekua ndio namba moja, Je wangeleta sheria ya kipuuzi kama hii?
Sawa

Ila serikali wapo sawa kiulinzi na kiusalama na kupunguza lawama kama Fraud zikitokea iwe mwenye jina uhusika awe responsible sio bibi, babu au shangazi.

Ndio umemsajilia kaka yako kwa mfano halafu simcard imefanya utapeli utakubali kuhusishwa na kesi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom