Walec
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,364
- 3,326
Unafahamu kpato chake?Utaweza kulipia internet ya Elon musk au umeandika tu na wewe uonekane upo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafahamu kpato chake?Utaweza kulipia internet ya Elon musk au umeandika tu na wewe uonekane upo?
Wewe ndiye unayetakiwa kuhakiki taarifa zako.Hakiki vizuri taarifa zako.
Mbona jibu lako la ujuaji mno mkuu?Utaweza kulipia internet ya Elon musk au umeandika tu na wewe uonekane upo?
Tumekwisha! Yaani kumbe hatuna backup ya internet?!
Achana Nae Mkuu, Huyo ameamua tu Kuleta LigiKama
Soma kidogo issue za Networking utaelewa unachokibishia! Hakuna kitu kinaitwa Mkonga Cables ni Mkongo (Optical Fiber Backbone)
Wewe punguani hapa tunajadili wala hakuna mashindano wala ligi,hizo lugha za kusema mtu anashindana au analeta ligi hua ni lugha za kijinga sana na zimeshapitwa na wakati.Achana Nae Mkuu, Huyo ameamua tu Kuleta Ligi
Wewe punguani hapa tunajadili wala hakuna mashindano wala ligi,hizo lugha za kusema mtu anashindana au analeta ligi hua ni lugha za kijinga sana na zimeshapitwa na wakati.
Naona Tanzania wanachoweza na serikali ya CCM ni wizi wa kura na hili ndio zoezi pekee linalofanyika kwa umakini na kwa ufasaha zaidi .Tumekwisha! Yaani kumbe hatuna backup ya internet?!
kwani unayotumia sasahivi ni nini unafikiriTumekwisha! Yaani kumbe hatuna backup ya internet?!
Umekosea, usahihi ni MkongoHapana mkuu,
Usahihi ni Mkonga sio Mkongo.
Kwa subscription ya around 130k kwa mwezi wengi wataweza kulingana na kazi wanazofanya wala usimdharau.Utaweza kulipia internet ya Elon musk au umeandika tu na wewe uonekane upo?
Kuna watu bongo wanatumia tayari starlink walikataa muda tu kukumbatia ushenzi wa Nepi na udalali wake kwa makampuni ya simu.Ni vile urasimu umekuwa mkubwa ila internet ya Elon musk ni muhimu sana kwa nyakati zetu.
gharama zake zikoje mkuu tufumbue machoUtaweza kulipia internet ya Elon musk au umeandika tu na wewe uonekane upo?
Hasa nyakati ambazo mkonga wa baharini upo hatarini kushambuliwa na magaidi.Ni vile urasimu umekuwa mkubwa ila internet ya Elon musk ni muhimu sana kwa nyakati zetu.
jamaa kakosoa kama yeye ndio mpanga bei wa elon yaani jf kuna wajuaji wa kijinga sana asee...... kisa yupi jf na ni maskini basi anaona kila mtu maskini au hajiwezi kama yeye🤣🤣🤣Kwa subscription ya around 130k kwa mwezi wengi wataweza kulingana na kazi wanazofanya wala usimdharau.
Ni Kama barabarani tu kuna mwenye uwezo wa IST, Kuna mwenye Range, Kuna mwenye baiskeli. Hivyo wa kuweza wapo na huenda akawa mmoja wao
Kwa speed na ilivyo unlimited na kwa bei hiyo wengi wanamudu vizuri tujamaa kakosoa kama yeye ndio mpanga bei wa elon yaani jf kuna wajuaji wa kijinga sana asee...... kisa yupi jf na ni maskini basi anaona kila mtu maskini au hajiwezi kama yeye🤣🤣🤣
Una kiherehere mkuu 😂😂😂Utaweza kulipia internet ya Elon musk au umeandika tu na wewe uonekane upo?