mxrereco
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 1,906
- 3,986
Na kwanini isiwe mkongo? Unadhali litakua vumbi?Hivi ni Mkongo au Mkonga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kwanini isiwe mkongo? Unadhali litakua vumbi?Hivi ni Mkongo au Mkonga?
Na Kwa matayarisho ya hali ya Juu sanaNaona Tanzania wanachoweza na serikali ya CCM ni wizi wa kura na hili ndio zoezi pekee linalofanyika kwa umakini na kwa ufasaha zaidi .
Kwani hiyo ya Elon Mask ina uhakika kwa asilimia ngapiNi vile urasimu umekuwa mkubwa ila internet ya Elon musk ni muhimu sana kwa nyakati zetu.
Backup ya internet?Tumekwisha! Yaani kumbe hatuna backup ya internet?!
Kwa usalama wa Taifa, ukosefu wa mtandao kwa robo saa ni national security concern.Kama umekosa huduma ya intaneti kwa saa kadhaa leo, tambua shida sio kifaa unachotumia bali ni tatizo la kiufundi lililotokea kwenye miundombinu ya intaneti iliyopitishwa baharini.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dk Jabir Bakari amelithibitisha hilo alipotafutwa na Mwananchi Digital leo Jumapili Mei 12, 2024.
"Kunaonekana kuna tatizo la kiufundi kidogo linalohusiana na 'marine cables' kwa hiyo tunajaribu kupata maelezo zaidi," amesema Dk Bakari.
Dk Bakari amesema kwa sasa wanaangalia namna ya kupata taarifa zaidi ili kujua ilipo changamoto ili kuchukua hatua.
Tatizo la mtandao wa intaneti limeanza tangu saa 4 asubuhi na hadi habari hii inapoandikwa saa 7.10 mchana huduma hiyo haijarejea.
Kununua vifa peke yake ni zaidi ya Tsh 1m. Monthly subscription sio chini ya laki 1.gharama zake zikoje mkuu tufumbue macho
Wewe pia ninakudharau. Kwanini ulipie internet ya 130k kwa mwezi kwa matumizi yako binafsi? Au unatafuta hela ili umpe Elon Musk?Kwa subscription ya around 130k kwa mwezi wengi wataweza kulingana na kazi wanazofanya wala usimdharau.
Ni Kama barabarani tu kuna mwenye uwezo wa IST, Kuna mwenye Range, Kuna mwenye baiskeli. Hivyo wa kuweza wapo na huenda akawa mmoja wao
Ndiyo ni la ujuaji kwasababu ninajua.Mbona jibu lako la ujuaji mno mkuu?
Unaongea na mimi?Unafahamu kpato chake?
Utakuwa umekosea.. sio mimi.Ndio ww
Acha kutishia raia wewe! Kwani hao wanaoutumia wanawezaje kulipa?Utaweza kulipia internet ya Elon musk au umeandika tu na wewe uonekane upo?
Dah leo siku mbaya kwa sisi tuotegemea mtandao ndio tuishi ni hasara tu.Kama umekosa huduma ya intaneti kwa saa kadhaa leo, tambua shida sio kifaa unachotumia bali ni tatizo la kiufundi lililotokea kwenye miundombinu ya intaneti iliyopitishwa baharini.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dk Jabir Bakari amelithibitisha hilo alipotafutwa na Mwananchi Digital leo Jumapili Mei 12, 2024.
"Kunaonekana kuna tatizo la kiufundi kidogo linalohusiana na 'marine cables' kwa hiyo tunajaribu kupata maelezo zaidi," amesema Dk Bakari.
Dk Bakari amesema kwa sasa wanaangalia namna ya kupata taarifa zaidi ili kujua ilipo changamoto ili kuchukua hatua.
Tatizo la mtandao wa intaneti limeanza tangu saa 4 asubuhi na hadi habari hii inapoandikwa saa 7.10 mchana huduma hiyo haijarejea.
Kama wewe unaona ni ghali unadhani ni kila mtu ataona hivyo?Utaweza kulipia internet ya Elon musk au umeandika tu na wewe uonekane upo?
Ndio mnatakiwa muone umuhimu wa kuwa na waziri proactive sio vuvuzela wa kumsifia Samia kila siku na asiyejua lolote kuhusu mambo ya ICT amepewa wizara iliyomzidi kila kitu.Dah leo siku mbaya kwa sisi tuotegemea mtandao ndio tuishi ni hasara tu.
Shida hapa ni 10% ukiongeza na vijiposho wanavyopewa ni haya makampuni ya ndani yanayohofia kukimbiwa na wateja!Hawa tangu wasikie ile nchi internet ilizingua chini ya bahari na wenyewe wameiga waxenge tu . Tangu mwaka 2014 sijawahi kusikia hii kitu internet ikakata kama umeme.. hii ndio Tanzania 🇹🇿 Elon musk kaja na Mi dollar yake anataka awasaidie maskini mnajikuta hamtaki msaada ili muendelee kuwapiga wananchi.
Mtu anakuja na satellite internet nyie hamtaki mnataka ya chini ya bahari haya pambaneni sasa na msiombe msaada nje
watu wananunua magari ya 50m+ na monthly cost ni zaidi ya 200k na wanaishiKununua vifa peke yake ni zaidi ya Tsh 1m. Monthly subscription sio chini ya laki 1.
Ni wapuuzi sana hawa jamaa aisee. Mambo ya msingi wanakausha as if hayawahusu ila upumbavu wanafuatilia hadi basi. Their days are numbered, they Will pay for every single mistake.Naona Tanzania wanachoweza na serikali ya CCM ni wizi wa kura na hili ndio zoezi pekee linalofanyika kwa umakini na kwa ufasaha zaidi .