TCRA: Kuna tatizo la Mfumo wa Mawasiliano ya Intaneti kwenye Mkongo wa Baharini

TCRA: Kuna tatizo la Mfumo wa Mawasiliano ya Intaneti kwenye Mkongo wa Baharini

Ni vile urasimu umekuwa mkubwa ila internet ya Elon musk ni muhimu sana kwa nyakati zetu.
Kwani hiyo ya Elon Mask ina uhakika kwa asilimia ngapi
Shida zinazotokea baharini ziko zinazofanana nazo huko hewani.
 
Kama umekosa huduma ya intaneti kwa saa kadhaa leo, tambua shida sio kifaa unachotumia bali ni tatizo la kiufundi lililotokea kwenye miundombinu ya intaneti iliyopitishwa baharini.

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dk Jabir Bakari amelithibitisha hilo alipotafutwa na Mwananchi Digital leo Jumapili Mei 12, 2024.

"Kunaonekana kuna tatizo la kiufundi kidogo linalohusiana na 'marine cables' kwa hiyo tunajaribu kupata maelezo zaidi," amesema Dk Bakari.

Dk Bakari amesema kwa sasa wanaangalia namna ya kupata taarifa zaidi ili kujua ilipo changamoto ili kuchukua hatua.

Tatizo la mtandao wa intaneti limeanza tangu saa 4 asubuhi na hadi habari hii inapoandikwa saa 7.10 mchana huduma hiyo haijarejea.
Kwa usalama wa Taifa, ukosefu wa mtandao kwa robo saa ni national security concern.
TCRA wajikiye kutafuta an alternative data conveyance 24/7.
 
Kwa subscription ya around 130k kwa mwezi wengi wataweza kulingana na kazi wanazofanya wala usimdharau.

Ni Kama barabarani tu kuna mwenye uwezo wa IST, Kuna mwenye Range, Kuna mwenye baiskeli. Hivyo wa kuweza wapo na huenda akawa mmoja wao
Wewe pia ninakudharau. Kwanini ulipie internet ya 130k kwa mwezi kwa matumizi yako binafsi? Au unatafuta hela ili umpe Elon Musk?
 
Kama umekosa huduma ya intaneti kwa saa kadhaa leo, tambua shida sio kifaa unachotumia bali ni tatizo la kiufundi lililotokea kwenye miundombinu ya intaneti iliyopitishwa baharini.

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dk Jabir Bakari amelithibitisha hilo alipotafutwa na Mwananchi Digital leo Jumapili Mei 12, 2024.

"Kunaonekana kuna tatizo la kiufundi kidogo linalohusiana na 'marine cables' kwa hiyo tunajaribu kupata maelezo zaidi," amesema Dk Bakari.

Dk Bakari amesema kwa sasa wanaangalia namna ya kupata taarifa zaidi ili kujua ilipo changamoto ili kuchukua hatua.

Tatizo la mtandao wa intaneti limeanza tangu saa 4 asubuhi na hadi habari hii inapoandikwa saa 7.10 mchana huduma hiyo haijarejea.
Dah leo siku mbaya kwa sisi tuotegemea mtandao ndio tuishi ni hasara tu.
 
Dah leo siku mbaya kwa sisi tuotegemea mtandao ndio tuishi ni hasara tu.
Ndio mnatakiwa muone umuhimu wa kuwa na waziri proactive sio vuvuzela wa kumsifia Samia kila siku na asiyejua lolote kuhusu mambo ya ICT amepewa wizara iliyomzidi kila kitu.

Hapo inatakiwa watu wajue refund policy za hayo makampuni ikitokea defect na fidia zipi watacover maana kama watu watakaa masaa 5 bila mtandao kwa zama hizi hasara ni kiasi gani ?
 
Hawa tangu wasikie ile nchi internet ilizingua chini ya bahari na wenyewe wameiga waxenge tu . Tangu mwaka 2014 sijawahi kusikia hii kitu internet ikakata kama umeme.. hii ndio Tanzania 🇹🇿 Elon musk kaja na Mi dollar yake anataka awasaidie maskini mnajikuta hamtaki msaada ili muendelee kuwapiga wananchi.
Mtu anakuja na satellite internet nyie hamtaki mnataka ya chini ya bahari haya pambaneni sasa na msiombe msaada nje
Shida hapa ni 10% ukiongeza na vijiposho wanavyopewa ni haya makampuni ya ndani yanayohofia kukimbiwa na wateja!
 
Naona Tanzania wanachoweza na serikali ya CCM ni wizi wa kura na hili ndio zoezi pekee linalofanyika kwa umakini na kwa ufasaha zaidi .
Ni wapuuzi sana hawa jamaa aisee. Mambo ya msingi wanakausha as if hayawahusu ila upumbavu wanafuatilia hadi basi. Their days are numbered, they Will pay for every single mistake.
 
Back
Top Bottom