TCRA acheni kutumika vibaya. Mmeufungia wimbo wa Ney Wamitego "Amkeni" kwasababu tu umemparura aliyewateua lkn mmeacha nyimbo kibao za matusi zkiendelee kwenda hewani.
.....sijui kutongoza....
.....ikiiingia inateleza..
....paka mate niteleze..
.....nampatia sukari ananambia ongeza.. n.k, n.k.
Kama kweli mpo hapo kwa ajili ya kulinda maadili ya taifa hili basi 80% ya nyimbo za wasanii wa bongo fleva mngezifungia.
Lkn mko hapo kumfurahisha aliyewateua tu. Hivyo mnajikomba, mnajipendekeza na mnafanya unafiki wa kufungua nyimbo zinazompa ukweli aliyewapa ugali.
Ujinga mtupu! Shit hole country Tanzania. Bora kuzaliwa mbwa Ulaya.
.....sijui kutongoza....
.....ikiiingia inateleza..
....paka mate niteleze..
.....nampatia sukari ananambia ongeza.. n.k, n.k.
Kama kweli mpo hapo kwa ajili ya kulinda maadili ya taifa hili basi 80% ya nyimbo za wasanii wa bongo fleva mngezifungia.
Lkn mko hapo kumfurahisha aliyewateua tu. Hivyo mnajikomba, mnajipendekeza na mnafanya unafiki wa kufungua nyimbo zinazompa ukweli aliyewapa ugali.
Ujinga mtupu! Shit hole country Tanzania. Bora kuzaliwa mbwa Ulaya.