TCRA kuufungia wimbo "Amkeni" wa Ney wa Mitego na kuacha nyimbo za matusi ni uchawa, kujipendekeza na unafiki

TCRA kuufungia wimbo "Amkeni" wa Ney wa Mitego na kuacha nyimbo za matusi ni uchawa, kujipendekeza na unafiki

TCRA acheni kutumika vibaya. Mmeufungia wimbo wa Ney Wamitego "Amkeni" kwasababu tu umemparura aliyewateua lkn mmeacha nyimbo kibao za matusi zkiendelee kwenda hewani.

.....sijui kutongoza....
.....ikiiingia inateleza..
....paka mate niteleze..
.....nampatia sukari anambia ongeza..
n.k, n.k.

Kama kweli mpo hapo kwa ajili ya kulinda maadili ya taifa hili basi 80% ya nyimbo za wasanii wa bongo fleva mngezifungia.

Lkn mko hapo kumfurahisha aliyewateua tu. Hivyo mnajikomba, mnajipendekeza na mnafanya unafiki wa kufungua nyimbo zinazompa ukweli aliyewapa ugali.

Ujinga mtupu! Shit hole country Tanzania. Bora kuzaliwa mbwa Ulaya.
Umegonga pale pale panapo uma. Hakuna cha kuongeza au kupunguza. Miziki mingi ya Bongo fleva ni ' pornograghic music' instead of Love music
 
TCRA acheni kutumika vibaya. Mmeufungia wimbo wa Ney Wamitego "Amkeni" kwasababu tu umemparura aliyewateua lkn mmeacha nyimbo kibao za matusi zkiendelee kwenda hewani.

.....sijui kutongoza....
.....ikiiingia inateleza..
....paka mate niteleze..
.....nampatia sukari anambia ongeza..
n.k, n.k.

Kama kweli mpo hapo kwa ajili ya kulinda maadili ya taifa hili basi 80% ya nyimbo za wasanii wa bongo fleva mngezifungia.

Lkn mko hapo kumfurahisha aliyewateua tu. Hivyo mnajikomba, mnajipendekeza na mnafanya unafiki wa kufungua nyimbo zinazompa ukweli aliyewapa ugali.

Ujinga mtupu! Shit hole country Tanzania. Bora kuzaliwa mbwa Ulaya.
Nchi hii inaongozwa na taasisi zilizowekwa viongozi wasiojitambua bali kutumika na wateuzi huku wakigeuzwa kama chapati.
Tunayo hasara kubwa sana!
 
Kuna nyimbo wanaimba "Kulaanina" nyengine "Madako yako"

Hizi ni swearing sounding words, badala ya kusema "Kumaanina" anabadili herufi moja na kutamka "Kulaanina" nyimbo inaendelea kupigwa hewani mamlaka zipo na zinaelewa na kusikia kinachoimbwa.


Neno "Madako" ina sound kama "Matako" actually ndicho alicholenga huyo mwimbaji ila mamlaka ziko kimya kabisa hazihangaiki na hao wasanii kabisa. Ila ukimchana Bi. Mkora kabla jogoo hajawika lazma uwe central.
TCRA acheni kutumika vibaya. Mmeufungia wimbo wa Ney Wamitego "Amkeni" kwasababu tu umemparura aliyewateua lkn mmeacha nyimbo kibao za matusi zkiendelee kwenda hewani.

.....sijui kutongoza....
.....ikiiingia inateleza..
....paka mate niteleze..
.....nampatia sukari ananambia ongeza..
n.k, n.k.

Kama kweli mpo hapo kwa ajili ya kulinda maadili ya taifa hili basi 80% ya nyimbo za wasanii wa bongo fleva mngezifungia.

Lkn mko hapo kumfurahisha aliyewateua tu. Hivyo mnajikomba, mnajipendekeza na mnafanya unafiki wa kufungua nyimbo zinazompa ukweli aliyewapa ugali.

Ujinga mtupu! Shit hole country Tanzania. Bora kuzaliwa mbwa Ulaya.
 
Back
Top Bottom