Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tofauti ya aina za simu husababisha ubazazi wa bando?Unatumia simi gani, android au iPhone
Kwa Halo tel hapana nitawatetea.Vifurush vinaisha fasta kiukweli sio mtandao huo tu,, ni mitandao yote, cjui wameset kitu gan
MADELU kaharibu kabisa hii sekta, tutaimba haleluya hii miaka 4 ya samiaMakampuni ya simu Uhuru na mamlaka mnazojitwalia za kuwaibia wananchi kwa kutukomoa au kurejesha fedha za hasara mlizopata kipindi Cha nyuma si sahihi.
Nimejiunga kifurushi cha wiki 1.2GB cha Vodacom jana saa sita kasoro usiku. Then nikazima data hadi saa nne asubuhi. Nimewasha data since saa
SUJUI NDUGULILE NA TCRA WANAFANYA NINI KAMA WANSHINDWA KUTIHBITI KITU KIDOGO KAMA HIKI WANANCHI WANAUMIA WENYEWE WAPO NAANZA KUWAELEWA WATU WANAOSEMA WIZARA YA NDUGULILE IVUNJWEMakampuni ya simu Uhuru na mamlaka mnazojitwalia za kuwaibia wananchi kwa kutukomoa au kurejesha fedha za hasara mlizopata kipindi Cha nyuma si sahihi.
Nimejiunga kifurushi cha wiki 1.2GB cha Vodacom jana saa sita kasoro usiku. Then nikazima data hadi saa nne asubuhi. Nimewasha data since saa
Si mhame mtandao? Mbona mm nimehama huko labda.kwa ajili ya sms na kupokelea simu tuu,Hawa jamaa wamefilosika sasa wanatapa tapa,hata kutumia miamala yao kwa sasa ni hatari sana.Mkuu yote uliyoelezea ni sahihi, halafu hili janga si lako pekee bali ni la wote ila watu hawapigi tu kelele lakini maumivu wanayasikia kama si kuyaona!
Mie baada ya kuona hawarekebishi na waziri husika hana mpango, niling'oa hiyo line na kupachika Halo tel nikitumia voice na data.
Halo tel ingawa hawana kasi kama Voda, lakini hawana uhuni huo tena wana gharama nafuu kuliko Voda na pia ukiunga kifurushi cha data au voice kifurushi haki'expai' bali kina 'cease' na ukiunga kipya, kilicho cease kinasisimka na kusongeshwa kwa kuunganishwa na kipya ulichojiunga.
Mimi nime experience zaidi mwezi wa 5 baada ya kujiunga mara 2 ndani ya wiki na wiki haikuisha."2. Ni kipi kimebadilika kabla ya utawala wa awamu iliyopita na utawala huu?"
Upuuzi wako uko hapo kwny hio statement,voda upigaji wa vifurushi wanafanya tangu miaka mingi iliyopita na mpk sasa kazi ya upigaji inaendelea vyema.
Mwache aendelee kupigwa kama mama mwantumu 😅😅😅 si kaolewa ndoa ya kikristo na Voda!Mkuu usiwang'ang'anie hao watu
Hahahaha unauziwa Gb ya kiini macho!Kumbe ndio wizi huu,mimi nimeshindwa kabisa kuelewa mara mbili nanunua kifurushi cha week Gb 1 lakini ndani ya 24hrs natumiwa sms umemaliza kifurushi chako,wakati huo mchana wote nimezima simu,sina Instagram,siangalii youtube,sidownload apps na files,natumia JF na Twitter tu.
vodacom acheni wizi[emoji53][emoji53]
Njoeni ZantelMimi nime experience zaidi mwezi wa 5 baada ya kujiunga mara 2 ndani ya wiki na wiki haikuisha.
Walikuwa wanapiga ila kuanzia huo mwezi wamezidisha nikahama na mtandao.Wizi wa makampuni ya simu na mabenki wanatuibia Sana ila unatafuta kwenye nafuu.
Kwangu Tigo inakaa angalau saizi nataka niwe natumia Tigo na halotel kwenye bando Voda na Airtel nawatumia kwa. ajili ya mawasiliano ya kawaidaVifurush vinaisha fasta kiukweli sio mtandao huo tu, ni mitandao yote, sijui wameset kitu gani.
HameniHakuna kwenye afadhali.
Airtel ndio balaa, ukiweka bando la wiki gb 1.2, ukifungua tu ukurasa mara moja unapokea sms kwamba umetumia 75% ya gb zako.
Huu ni uhuni.
Niliko zantel chengaNjoeni Zantel
Hahahah ni swala la muda tu! Vitaanza vichapo vya kibabe mpaka mtapoteana! Tigo ndio zao wakikimbiwa 😅😅😅Kwangu Tigo inakaa angalau saizi nataka niwe natumia Tigo na halotel kwenye bando Voda na Airtel nawatumia kwa. ajili ya mawasiliano ya kawaida
Dah pole sana mkuu ila mie huku im here to Stay! Zantel ntaitumia tu siku zote! Hao matapeli wengine wanalambisha asali miezi 3 wanawarudisha kweny vipigo pro max 😅😅😅😂😂😂 hadi mnaanza kutafutanaNiliko zantel chenga