Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,745
- 11,267
Ndio mkuu....!Yes tv naikubali sana
Bila shaka Upo Kanda ya ziwa
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuu....!Yes tv naikubali sana
Bila shaka Upo Kanda ya ziwa
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Mkuu na wewe una canal ,mzee wa lumia enzi hizoIngesaidia Sana.. CANAL SPORTS ziko poa Sana hasa ukichek Kwenye simu
Haya ni majizi kama majizi mengine tuUsanii huu wa DStv utaendelea mpaka lini?
Leo wameondoa channel namba 228 (super sport variety) Kwa vile Tu mashindano ya Olympic yataanza kesho kutwa!! Huu sio uungwana na ni wizi wa mchana tena ni usanii mtupu, haiwezekani tumelipia kifurushi ambacho hiyo channel inakuwepo halafu ghafla mnaondoa.
Kipindi cha mashindano ya Euro walifanya huu wizi Kwa watumiaji wa kifurushi cha bomba Kwa kuwaondolea channel namba 224, tunawaomba TCRA waangalie haya manyanyaso ya hawa DStv.
Inakuaje Media zingine hawana wizi kama huu WA DStv? Kwanini serikali wanashindwa kuwabana hawa makaburu ili waende sawa na media zingine?
Huu wizi wenu DStv ni kama mfano wa bus la kampuni Fulani ambalo walikuwa wakifikia Kwenye barabara ya lami wanatoza tena abiria kwasababu wapita Kwenye lami.
Tumerudi Kwenye Android Mkuu kitamboMkuu na wewe una canal ,mzee wa lumia enzi hizo
Hao dstv Niliwaripoti TCRA kwa uhujumu waliofanya, kuondoa channel 224 bila taarifa na hivyo kunipunja kwa kunipa pungufu ya kile nilicholipia. Tarehe 16.07.2021 TCRA walitukutanisha mimi na DSTV kwa kikao cha usuluhishi pale Mawasiliano Tower. Mediation ilifeli, DSTV wakisema kuwa walitoa taarifa kuwa channel itahama hivyo hawakuwa na kosa lolote, mimi nikaendelea na msimamo wangu kuwa hakukuwa na taarifa za kuhama kwa channel, matangazo wanayoyasema yalikuwa ni ya vifurushi na sio uhamaji wa channel. Tumeambiwa bodi ya wakurugenzi wa TCRA watakapoketi kwa kikao, tutaitwa ili kusikilizwa suala letu na kutolewa uamuzi.
Mrejesho utafanywa humu. Tunachukua hatua.
We jamaa na burn umekula punguza kujua kila kitu na kuwa na staha kwenye maandiko yakoNa pia sina tofauti vile vile na akukazae.
Jamaa wamezidi kushusha sasa kwa 37k unaona ligi zoteTCRA WARUHUSU CANAL SPORTS TANZANIA IENEE KOTE HATA KAMA WANATANGAZA KIFARANSA GHARAMA ZAO NI NAFUU KULIKO HAWA WASHENZI DSTV!!!
Sijui lini ntapata decoda zao Hawa jamaa!!
Dish la kawaida ya zamani Yale ,nashangaa watu wanahangaika! Kuna uzi humu wa unaelezeaNiliwaza kununua Dstv
kwahiyo ninunue kisimbuzi gani maana sitakagi stress
Dish la kawaida yale ya futi sita au nane unaangalia nini, hata ukiwa unanunua decoder kila mara ili ku upgrade, bado baada ya mda zinakuwa scrambled. Useme labda kama sio mpenzi wa soka ndio utafaidi dish kubwa, otherwise hata cartoon za watoto wanazifunga.Dish la kawaida ya zamani Yale ,nashangaa watu wanahangaika! Kuna uzi humu wa unaelezea
kabisa yaaniKula kwa urefu wa kamba yako