Leloo June
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 1,001
- 933
Usiku boss lisaa 1, 1:30Tumetofautiana sana... Hivi mnapata wapi muda wa kuangalia TV? Bar zinakuwa zimefungwa au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiku boss lisaa 1, 1:30Tumetofautiana sana... Hivi mnapata wapi muda wa kuangalia TV? Bar zinakuwa zimefungwa au?
Na pia sina tofauti vile vile na akukazae.Aisee unaongea Sana mpaka unapitiliza hauna tofauti na mtoto wa form 2
Hiyo ndio shida ulipe 89000 au 49000 wakati mchana upo kazini na game nyingi nzuri ni mchanaWengi tunatafuta ving'amuzi kwa ajili ya kuangalia mpira. Sasa unalipia 89,000 kwa ajili ya kuangalia mechi hazizidi 10?
Na hapo channel zingine huwezi angalia kwakua unahustle so huna muda sana na tv yenyewe, ila siku za mechi unaweza kujibana bana kupata muda.
Naenda kua expert wa la liga na bundes liga.
Msaidizi wa ndani unamlipa sh ngapi?
Unatumia app gani kuchekNilishatupa vin'gamuzi mda sana. GB 1 Vodacom naangalia mechi live online dk 90. Dstv washawaona wabongo mnaishobokea ndio maana wanawapiga wabongo man'gombe. Nigeria premium wanalipia tsh 50,000 sawa na Naira 8890.
Nisome unielewe jonjo shevleyAcha kutetea ujinga, hapo amezingua
Umeshikiwa bunduki?49,000/= kila mwezi ni nyingi Sana
Gb 1 haumalizi mechi.Nilishatupa vin'gamuzi mda sana. GB 1 Vodacom naangalia mechi live online dk 90. Dstv washawaona wabongo mnaishobokea ndio maana wanawapiga wabongo man'gombe. Nigeria premium wanalipia tsh 50,000 sawa na Naira 8890.
Siyo app ni websiteUnatumia app gani kuchek
Umekuja mjini juzi siwez kubishana na Fala,nimekuzidi Kwa kila kitu.Na pia sina tofauti vile vile na akukazae.
Msela-mavi lazima urukie ishu ambazo hujui ilimradi na wewe uonekane mjanja wewe bado ni WA kuja tuuu....Na umasikini wangu huu nitaitumiaje hiyo Dstv yako ( yenu ) Mkuu? Hela yenyewe tu ya Kula sina na hiyo Gharama mnayolipa huko Dstv Kwangu Mimi hiyo ni Hela yangu ya Matumizi kwa Miezi Miwili kwa Kujibanabana.
Hongera kwa kuwa na Dstv Mkuu kwani Wewe ni miongoni wa wana JamiiForums 'Matajiri' sana.
Ni kweli aiseePole mkuu. Wanasema terms and conditions applied.
Ndio maana huwa wanakuwekea chini kabisa kwenye fomu ya mkataba kuwa VIGEZO NA MASHARTI KUZINGATIWA., kisheria hawana kosa, na kwenye biashara hasa za wazungu hakuna kitu HURUMA.Usanii huu wa DStv utaendelea mpaka lini?
Gb 1 haumalizi mechi.
Ingesaidia Sana.. CANAL SPORTS ziko poa Sana hasa ukichek Kwenye simuTCRA WARUHUSU CANAL SPORTS TANZANIA IENEE KOTE HATA KAMA WANATANGAZA KIFARANSA GHARAMA ZAO NI NAFUU KULIKO HAWA WASHENZI DSTV!!!