TCRA mnajua usanii unaofanywa na DStv?

Haya ni majizi kama majizi mengine tu
 
...niko nje kidogo ya mada. Binafsi niliacha kutuimia dstv na kununua Azam maana nilishindwa kuangalia local channels za tz mfano ITV, star tv na kadhalika.
Na hadi Leo ukiniuliza kwanini hazipatikani sina jibu nnachokumbuka tu waliacha kuzionesha tangu kipindi kile Mwakyembe ni Waziri wa Habari, sasa hata kama Dstv walizinguana na baadhi ya hizi local channels labda kimaslahi inakuwaje hadi Leo hii hawajaweza kukaa na kuyamaliza!? na kuzirudisha Kama zamani!?
Nchi hii dah
 

[emoji23][emoji23][emoji119][emoji481]
 
Dish la kawaida ya zamani Yale ,nashangaa watu wanahangaika! Kuna uzi humu wa unaelezea
Dish la kawaida yale ya futi sita au nane unaangalia nini, hata ukiwa unanunua decoder kila mara ili ku upgrade, bado baada ya mda zinakuwa scrambled. Useme labda kama sio mpenzi wa soka ndio utafaidi dish kubwa, otherwise hata cartoon za watoto wanazifunga.
 
Nimeagiza CANAL+ Zitakuja kama 100, zikifika nitawafahamisha wadau, hawa Dstv ni miyeyusho kinamna flani, CANAL gharama zake zipo chini mno, shida yake ni Lugha tu, lakini kwa wanamichezo hilo sio ishu lugha yetu ni moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…