mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,309
- 4,798
Meneja wa Huduma za Utangazaji wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Andrew Kisaka amesema kuwa ikiwa mwandishi wa habari anataka kugombea nafasi ya uongozi kwenye siasa anapaswa kuacha kazi, na ikatokea hakuchaguliwa, anaweza kurejea tena kwenye kazi yake ya uandishi kwa mujibu wa taratibu za mwajiri wake wa awali.
Pia soma > Pre GE2025 - Hali ya Vyombo vya Habari kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025: Kuna uhuru wa kutosha katika utekelezaji wa majukumu yao?
Pia soma > Pre GE2025 - Hali ya Vyombo vya Habari kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025: Kuna uhuru wa kutosha katika utekelezaji wa majukumu yao?