Pre GE2025 TCRA: Mwandishi anayetaka kugombea nafasi ya uongozi kwenye siasa anapaswa kuacha kazi

Pre GE2025 TCRA: Mwandishi anayetaka kugombea nafasi ya uongozi kwenye siasa anapaswa kuacha kazi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Meneja wa Huduma za Utangazaji wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Andrew Kisaka amesema kuwa ikiwa mwandishi wa habari anataka kugombea nafasi ya uongozi kwenye siasa anapaswa kuacha kazi, na ikatokea hakuchaguliwa, anaweza kurejea tena kwenye kazi yake ya uandishi kwa mujibu wa taratibu za mwajiri wake wa awali.

Pia soma
> Pre GE2025 - Hali ya Vyombo vya Habari kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025: Kuna uhuru wa kutosha katika utekelezaji wa majukumu yao?

 
Meneja wa Huduma za Utangazaji wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Andrew Kisaka amesema kuwa ikiwa mwandishi wa habari anataka kugombea nafasi ya uongozi kwenye siasa anapaswa kuacha kazi, na ikatokea hakuchaguliwa, anaweza kurejea tena kwenye kazi yake ya uandishi kwa mujibu wa taratibu za mwajiri wake wa awali.

Pia soma > Pre GE2025 - Hali ya Vyombo vya Habari kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025: Kuna uhuru wa kutosha katika utekelezaji wa majukumu yao?

Hamna namna
 
Meneja wa Huduma za Utangazaji wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Andrew Kisaka amesema kuwa ikiwa mwandishi wa habari anataka kugombea nafasi ya uongozi kwenye siasa anapaswa kuacha kazi, na ikatokea hakuchaguliwa, anaweza kurejea tena kwenye kazi yake ya uandishi kwa mujibu wa taratibu za mwajiri wake wa awali.

Pia soma > Pre GE2025 - Hali ya Vyombo vya Habari kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025: Kuna uhuru wa kutosha katika utekelezaji wa majukumu yao?

Hii iende hadi kwa Mawakili. HAIWEZEKANI mtu aende mahakamani kama Afisa wa Mahakama Kuu, halafu eti ni Kiongozi wa Chama cha Siasa. Si sawa kabisa!
 
Netapussy una matatizo we dogo
Netapussy appears to be a term that might not have widespread recognition or a standard definition. It could refer to a specific software, project, or concept, but without more context, it's challenging to provide a precise explanation.
Nimeshindwa kukutukana wala kukupongeza sijaelewa hilo neno.
 
Hii iende hadi kwa Mawakili. HAIWEZEKANI mtu aende mahakamani kama Afisa wa Mahakama Kuu, halafu eti ni Kiongozi wa Chama cha Siasa. Si sawa kabisa!
Hizo taratibu mtawawekea watu wasiojitambua tu kama hao waandishi wa habari na walimu.

Wanasheria ni wasomi hasa na wanajitambua kamwe huwezi kuwawekea taratibu za kindezi namna hiyo na wakakubali.
 
Back
Top Bottom