Uchaguzi 2020 TCRA na Mitandao ya simu mtuombe radhi kwa SMS hii. Mmetoa namba za wananchi kwa wanasiasa? Mmefanya makosa makubwa!

Sasa kwa akili zako hizo sms zimetumwa na ccm au makampuni ya simu.?

Kama zimetumwa na makampuni ya simu kwa akili yako unafikri hawana data zako?
Swali la kipumbavu kabisa, hizo companies zitatuma tu msg bila sababu yoyote? Wametuma under indue influence ya CCM. Toa kamasi kichwani, CCM ni chama kitakufa kifo cha mende kitakuacha na empty set kichwani and by the time it will be too late to catch the train, kima wewe!
 
'Miswahili' bhana kwani ukiisoma na kuifuta tu hiyo 'Meseji' unakufa? Mbona 'Meseji' nyingi tu za Matusi mnatumiwa '24/7' hamlalamiki huko TCRA?
Vipi mbona umepanick kupitiliza? Kuna nini "NYUMA" ya pazia
 
Veve uko na akili mingi sana veve kijana agiza kinywaji yoyote hapo nitakulipia
 
hata hawa sport pesa na mbet itabidi tuwafungulie mashtaka mpaka hawa tatu mzuka na biko kwanini wanatutumia meseji zao😀😀😀😀
 
Tukiwaambia nyie ni wapumbavu mnabisha!

Ccm imelipia huduma kwa hizo kampuni kuwatangaza.

Kwa maneno mengine ccm imelipa hela voda, ili voda watume sms kwako kwamba wao ccm wanaomba wewe flani uwape kura kwenye uchaguzi mkuu!
Sasa hapo usichoelewa ni nini?

Huyo Lisu wenu mbona kawajaza ujinga sana?
 
Umemaliza mkuu wabongo ni wavivu kusoma
 
Toa tena kamasi kichwani pimbi wewe, ndiyo maana kukawa na ratiba ya kufanya campaign nchi nzima. Kama unaona sawa kwanini hapa Jf tusifanye campaign Jiwe Vs Lissu? Alafu iwe official kabisa na TCRA watuache tufanye maamuzi hapa hapa? Kama hao nyoka wa kijani wamelipia huduma sijui Voda/Airtel, kwani ni lazima watutaje majina yetu wanapotuomba kura? Kwanini wasiombe kura kwa kutumia utambulisho wa "MTANZANIA" tu? Kama unajua maana ya undue influence huwezi kutokwa na povu sema huko ulipo hata ukiwa na PhD nayo inatolewa kichwani wana re-place na kamasi!
 
Kuwa CDM au ACT ni mapenzi ya dhati ya mtu kwani hakuna kunufaika huko tofauti na CCM, CCM wanapesa mpaka za kuwanunua wapinzani kitu ambacho chdema hawawezi fanya hata kama wakiamua

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Wapo CCM wanaoipenda kwa dhati na hawanufaiki chochote na wala hawajanunuliwa
 
Nikiangalia hizi mesej zao nikiangalia na kule sapot ya wasanii nasema....

Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiih!!!!!!!?!??
 
Nothing is wrong there, hama nchi!! Kudekadeka ushajua CDM wanafanya, unahamisha goli
Ukutu nawe una damu anakutegemea. Mungu awasaidie wanawake kwa kweli.
Eti kidume na wewe. Kujibu hoja huwezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…