IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,343
Duh.. Huu ni upumbavu wa kiwango cha juu mno.Vilaza wa chumia tumbo kama nyinyi tunawafundisha tu halafu tunawaacha
View attachment 1604066
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh.. Huu ni upumbavu wa kiwango cha juu mno.Vilaza wa chumia tumbo kama nyinyi tunawafundisha tu halafu tunawaacha
View attachment 1604066
'Miswahili' bhana kwani ukiisoma na kuifuta tu hiyo 'Meseji' unakufa? Mbona 'Meseji' nyingi tu za Matusi mnatumiwa '24/7' hamlalamiki huko TCRA?
Hao ni wajinga mkuu! Cha ajabu sms za betting wanazifurahia kweli kweli.'Miswahili' bhana kwani ukiisoma na kuifuta tu hiyo 'Meseji' unakufa? Mbona 'Meseji' nyingi tu za Matusi mnatumiwa '24/7' hamlalamiki huko TCRA?
Na hizo ndiyo nyingi kweli kweli ukichanganya na zile wa wale 'Matapeli' lakini cha Kushangaza wala huwa hawalalamiki huko TCRA. Ni Wanafiki tu.Hao ni wajinga mkuu! Cha ajabu sms za betting wanazifurahia kweli kweli.
Pimbi mkubwaAkili yako ndogo.. low IQ
Tutakutumia nyingine sawa?
Kila mwaka wanafanya hivo...dawa ni kulalamika kwenye vyombo vya haki kama mahakama.TCRA hawatakuwa na msaada wowote...
Tupeni namba za Magufuli, Polepole na Bashiru na sisi tuwatumie ujumbe wetu. Wametunyanyasa sana
Haahaa mkuu hujui.bila database kutolewe hizo SMS zisingeingia kwa wateja kamwe.watalaamu wa it watakubaliana nami
Hawa wameinajisi simu yangu kwa kunitumia msg kama hii. Imebidi simu yangu nikaiogeshe na Omo kuondoa nasiji ya ccm
jingalao huyo meko wako safari hii hauziki hata kwa bei ya utumbo wa samaki pale feriHa ha ha ...Magufuli ni kama maji usipoyanywa utayaoga....
Yani unachukua taarifa zangu halafu unampa mtu mwingine huoni kama huo ni upuuzi?
Hizo T & C's zipo kwa ajili ya mteja na kampuni ya simu, unapompa third party taarifa zangu hiyo ruhusa umeipata kwa nani? wanasema unapokuwa umewapa idhini wabia wao wanaweza kutoa taarifa zako, sasa ni nani amewapa Vodacom Tanzania idhini ya kutoa taarifa zangu kwa CCM (wabia wao) wakati mimi mtumiaji sijawapa hiyo idhini?
Hao Vodavom ndio maana wakati fulani watu walitupa line zao, kwasababu ndio wa kwanza kujipendekeza kwa CCM.
Hao aliowatuma si ndio wangeona na taarifa zingemfikia.Ukireplay zinaenda kwa Magufuli?
Alafu mbona mnakuwa wajinga? Kwani hii nchi kumbe Lisu tu ndio mwenye wafuasi ila Magu
Wakati mwingine muwe mnaficha upumbavu wenu.Sasa hawa wafuasi wenzio wa Lisu wanalalama nini?
Mwambieni Lisu na yeye atoe mpunga ili wamfanyie promo
huu upuuzi hawananitumia na wasijaribu.
Natamani wote waliotumiwa hizo jumbe walalamike kwenye kampuni husika.huu mchezo umechezwa na tume ya uchaguzi pia.Wao pia wanadatabse ya wapiga kura yenye namba za simu pia.
Wewe ndio pumbavuWakati mwingine muwe mnaficha upumbavu wenu.
Huu mchezo hawajaanza Leo, Vodacom na Airtel ndo zao. Wamempa access JPM ya database za wateja wao.
Natamani watu waende mahakamani kwa hili ili haya makampuni yalipishwe fidia ya kutosha.