MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
1. Baada ya Kuamuru jana kuwa Vifurushi vya zamani virejeshwe na viendelee je, ni Saa ngapi hilo litafanyika kwani mpaka sasa bado havijabadilika?
2. Je, wale ambao Jana walinunua Vifurushi vyenu vya Ukatili na Kutukomoa mtawasaidiaje na kuwafidia kutokana na Upuuzi wenu?
3. Ni saa ngapi Waziri Ndugulile na Mkurugenzi (Boss) Mkuu wa TCRA mtatangaza Kujiuzuru kwa Mateso ya Kimakusudi mliotupa Watanzania Wanyonge (Masikini) jana?
Ninayasubiri upesi sana tu Majibu yenu.
2. Je, wale ambao Jana walinunua Vifurushi vyenu vya Ukatili na Kutukomoa mtawasaidiaje na kuwafidia kutokana na Upuuzi wenu?
3. Ni saa ngapi Waziri Ndugulile na Mkurugenzi (Boss) Mkuu wa TCRA mtatangaza Kujiuzuru kwa Mateso ya Kimakusudi mliotupa Watanzania Wanyonge (Masikini) jana?
Ninayasubiri upesi sana tu Majibu yenu.