Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Pitia Post zilizomo, zimo za majanga pia.How sure ar you?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pitia Post zilizomo, zimo za majanga pia.How sure ar you?
Lakini swali la msingi, kuna hasara gani itatokea kama tukiripot majanga mana ndy njia nyepesi ya kuokoa watu!Pitia Post zilizomo, zimo za majanga pia.
Umuhimu upo ila utumie namba maalumu na siyo pendekezi, la sivyo utakionaBado hawaoni umuhimu wa kupewa taarifa?!
Hawajakataza kutumia mitandao ya simu bali ufate maagizo, la sivyo utakionaSASA TCRA si bora wafute mitandao yote ya simu kama ndiyo hivyo! wafute tgo.vda..airtel...haltl..ttcl..smart... futa vyoote
ufate maagizo yapi wrwe??Hawajakataza kutumia mitandao ya simu bali ufate maagizo, la sivyo utakiona
ni shidaWananchi wasiposema. Corona ndiyo itakwisha. Halafu aliyetoa hilo tangazo utakuta ni PhD holder kabisa.
Inawezekana kikosi kinachohusika na majanga (Fire and Rescue) kimepungukiwa kazi baada ya wananchi kukiingilia.Lakini swali la msingi, kuna hasara gani itatokea kama tukiripot majanga mana ndy njia nyepesi ya kuokoa watu!
Wamesema hakuna kutoa taarifa za majanga kupitia namba binafsi bali namba maalumu..la sivyo utakiona.ufate maagizo yapi wrwe??
Ni ili kulinda wananchi wasipatwe na mkono wa sheria
Wanakimbizana Na chadema. Wangekuwa wana react hivi dhidi ya korona ugonjwa usingesambaaWakuu Salaam;
👇👇 Hii ni taarifa kwa umma iliyotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania kuhusu matumizi sahihi ya namba za simu.
View attachment 1436129
Ungeishia dar tu?Wanakimbizana Na chadema. Wangekuwa wana react hivi dhidi ya korona ugonjwa usingesambaa
Dar ni wapi?Ungeishia dar tu?
Kwa mtoto wa babaDar ni wapi?
Hizo sheria si zinatengenezwa na watu tu ambao ni wajinga kama hiyo taasisi yako uchwara.Ni ili kulinda wananchi wasipatwe na mkono wa sheria