TCRA: Namba za simu zisitumike kutoa taarifa kuhusu majanga hapa nchini. Atakayekiuka agizo hili kukiona

TCRA: Namba za simu zisitumike kutoa taarifa kuhusu majanga hapa nchini. Atakayekiuka agizo hili kukiona

Jukumu la kutengeneza kizazi chenye uzalendo huwa lipo mikononi mwa serikali wala si wananchi.

Wengi huwa tuna imani serikali hujengwa na kundi la raia wenye elimu mbalimbali ili kusogeza nchi mbele. Ila kama wanatumia elimu zao kufanya upumbavu ni aibu sana kwa Taifa. Serikali acheni kutumia nguvu hizi kwa wateka wasioweza hata kushika jiwe wawarushie.
Hapa unamaanisha kizazi cha wajinga na sio wazalendo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serekali ya CCM ni ubabe tu kwenda mbele, hao wakoloni basi walikua na afadhali
 
Wakuu Salaam;

[emoji116][emoji116] Hii ni taarifa kwa umma iliyotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania kuhusu matumizi sahihi ya namba za simu.
View attachment 1436129
Wanahangaika kuzima watu kutoa taarifa, Siku hizi watu wanatumia facebook, tweeter na vyanzo vingne mtawapata wapi? Ukiziba huku watu wanakuja na mbadala ndio maaana Yule kigogo hadi Leo mmeshindwa kumkamata, ujue Mimi nashangaaa hivi Kwa sasahivi unaweza kuwathibiti watu kutoa taarifa kupitia Simu? Dunia ina njia nyiiiingi, Leo hiii watu weeengi wako tweeter taarifa nyingi zinapita tweeter na Tweeter hamna Uwezo wa kumfikia mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa sijaelewa mimi tu au tuko wengi?
"KUTOA AU KUPOKEA TAARIFA KWA UMMA"
Yaani Kama kuna tukio nalishuhudia Kama ule moto wa Lori la MAFUTA moro so sipaswi kutoa taarifa kwa umma?? Au nikitumiwa taarifa pia nakuwa mkosaji??

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanahangaika tu, wametunga masheria ya ovyo kuwanyamazisha watu bado tu hawajafaulu, taarifa za kimtandao huwezi dhibiti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu Salaam;

[emoji116][emoji116] Hii ni taarifa kwa umma iliyotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania kuhusu matumizi sahihi ya namba za simu.
View attachment 1436129
Hivi mkurugenzi mkuu wa hicho ki tcra ni nani ?

Naona ana ujinga mwingi sana kichwani unaotakiwa kukwanguliwa kabla haujaleta madhara kwa taifa zima








kush and Wisdom
 
Sijaelewa yaani nikifiwa na ndugu zangu siwezi kutoa taarifa za kufiwa kwa hao ndugu zangu (UMMA) wa watu watano..., au UMMA unaanzia watu wangapi ?
 
Wananchi wasiposema Corona ndiyo itakwisha? Halafu aliyetoa hilo tangazo utakuta ni PhD holder kabisa.
Hao wameagizwa tu msiwaoneee wamepewa maelekezo tu, hata wao hawapendi kuzuia taarifa kwa umma maaana nao wamo humu humu tunachati nao mmoja ni Rafiki Yangu huko kwenye kitengo maalumu kwenye maamlaka aanasikitika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namba maaalum ni ipi? Ukiona tukio Morogoro utoke had daaar uombe namba maalum, Halafu ndio upewe urudi Moro ukalipot Au

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiv Stella1975 haujaelewa tangazo?
Umeambiwa usitoe taarifa za majanga kama unavyotaka, tafuta namba maalumu ndy uripoti. Kama hutapata namba maalumu, potezea.
Ukikikuka utakiona.
 
Serekali ya CCM ni ubabe tu kwenda mbele, hao wakoloni basi walikua na afadhali
Mnatuonea tu Ccm, sisi wala hatuhusiki, haya yooote mnayoyaona ni ya bwana Yule Kwa kuwa amezungukwa na walinzi, sisi Ccm asili tumeshangaaa kila kukicha na kujiuliza hivi hiii ndio ile cccm yetu Au tunaota?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom