Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo hao wenye elimu nao syo wabunifuHizi media ambazo zinakusanya watu wenye sifa ya kujua kuongea Sana badala ya kuwa na elimu husika ndio tatizo.
Sheria zi walipitisha alafu watu wakawa wanashangilia acha wazidi kunyooshaHizi media ambazo zinakusanya watu wenye sifa ya kujua kuongea Sana badala ya kuwa na elimu husika ndio tatizo.
Wawapeleke shule kwa kipindi hiki wakiwa likizo.Tatizo hao wenye elimu nao syo wabunifu
Wako wko tu kama wko RTD
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Lakini Wasafi Media wajitathmini. Ajira zao vilevile wazitathmini. Unapoajiri makanjanja kwenye tasnia inayohitaji weledi tarajia makosa haya kujitokeza mara kwa mara. Mtu kama Baba Levo (confuser) ndio mtangazaji utarajie nini kama sio shida. Lazima tukiri kwamba kunahitaji universal intervention katika tasnia ya habari ili wale tu wenye sifa ndio wahabarishe, waelimishe jamii. Sidhani watu wa type ya Baba Levo wanaweza kuisaidia media yoyote hapa Tanzania. Tuzingatie Media inakwenda kuwa Muhimili wa 4. Hivyo lazima iwe regulated na State ili tupate mavuno memaWasafi walishapigwa onyo na faini kwa mambo hayo hayo "kipindi cha woman matters", wakaja wakafungiwa week moja kwa sababu ya mambo hayo hayo "inshu ya babalevo" sahivi wamerudia Tena kosa.
Siwachukii wasafi ila hiyo adhabu ni msamaha tosha, walistahili zaidi ya adhabu hiyo waliopewa
Note: watu wanatumia zaidi ya miaka >2 chuoni kusomea uandishi wa habari kwa hiyo uandishi wa habari sio kazi rahisi kiasi hicho
well said mkuu👊Hawa TCRA waache unafiki. Nyimbo na vipindi tunavyoona kwenye tv za kitanzania ni zaidi ya alichovaa huyo gigy.
Kuna kitu cha ziada kwa kweli. Kwanza kazi ya TCRA ni kufungia tu?
Sheria si zilipitishwa na bunge na watu wakagonga meza kwa kwa kwa!Kuna watu huwa wanatoa adhabu,bila kufikiri kwa kina
Mnachoandika inaakisi chuki iliyojificha ndani ya kifua chako.Then mlitaka mpewe nchi,si mngekua mnanyonga watu Kila siku nyinyiMimi nashauri waongeze adhabu. WCB wamezidi uhuni na kupromote wasanii malaya. Sio siku nyingi walifungiwa kwa lugha za matusi,hawajifunzi?