Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na mashoga piaMimi nashauri waongeze adhabu. WCB wamezidi uhuni na kupromote wasanii malaya. Sio siku nyingi walifungiwa kwa lugha za matusi,hawajifunzi?
Tatizo sio bakwata in wabunge wanaopitisha sheria hizi.....tulia kwanza dawa iingieHii basata hii ili iweze kwenda na wakati inahitaji viongozi vijana. Hawa wazee wakati umewapita wanafanya maamuzi ya kizee.
Vijana wasasa ndo wanatakiwa waiongeze hiyo basata
Mitano tena
Jaribu kuwa unafanya utafiti kwanza kabla hujakuja jf na uzi wako!!huwezi jiuliza mbona wasafi radio haijaadhibiwa? Hiyo show ya wasafi ilikuwa mubashara kupitia tv gani?hiyo wasafi tv ilikuwa live wakati hiyo show inafanyika, itakwepaje hiyo adhabu wakati ndio ilirusha hewani hayo maudhui machafu?!!jaribuni kuwa mnafikiria kwanza!!kama inshu huna taarifa nayo , unakaa kimya tu!!Gigy alifanya makosa kwenye show ya wasafi festival ma sio kwenye tv ya wasafi hivyo iliyopaswa kufungwa ni ile show
Gigy angekuwa amealikwa kwenye kipind chochote kinachorushwa na wasafi tv halaf akaharibu ndo wagepaswa kufungia tv
Tcra wamekurupuka
Wangetakiwa wafungir you tube TanzaniaGigy alifanya makosa kwenye show ya wasafi festival ma sio kwenye tv ya wasafi hivyo iliyopaswa kufungwa ni ile show
Gigy angekuwa amealikwa kwenye kipind chochote kinachorushwa na wasafi tv halaf akaharibu ndo wagepaswa kufungia tv
Tcra wamekurupuka
Gigy alifanya makosa kwenye show ya wasafi festival ma sio kwenye tv ya wasafi hivyo iliyopaswa kufungwa ni ile show
Gigy angekuwa amealikwa kwenye kipind chochote kinachorushwa na wasafi tv halaf akaharibu ndo wagepaswa kufungia tv
Tcra wamekurupuka