Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Kuna tofauti kati ya "kujitia hamnazo (kujifanya hamnazo)" na "kuwa hamnazo".Kujitia hamnazo maana yake ni sawa na kuwa na akili lakini unajifanya hunazo ama kuwa na uelewa wa kitu lakini ulajifanya hukijui