TCRA rungu lao lingekuwa linafika Kenya, wangeifungia Citizen maisha

TCRA rungu lao lingekuwa linafika Kenya, wangeifungia Citizen maisha

Wewe umeona wakenya bado wanavaa barakoa?!
Yaani wewe ni zaidi kituko cha mwaka Kenya inaheshimu sana ushauri wa kitaaluma na kisayansi na kwa taarifa yako hapa Kenya barakoa ni zaidi ya kupiga mswaki.
 
Yaani wewe ni zaidi kituko cha mwaka Kenya inaheshimu sana ushauri wa kitaaluma na kisayansi na kwa taarifa yako hapa Kenya barakoa ni zaidi ya kupiga mswaki.
Umeona mikutano ya BBI ya Uhuru na Ruto au bado umekariri bwashee?
 
Citizen wanatuita sisi witless and moron .
Tcra wafurahisheni basi wasipate masafa.
 
Wametukosea sana hawa Citizen, Wapambane na huyo mwenyewe
 
Naona Kenya inataka kushika Nyati sehemu za siri Sasa
Kenya wanatutia kidole,.
Kenya wanatutafuta,

Hivi hawaogopi kujenga chuki na sisi?

Hivi muziki wetu wanaujua kweli??

Si tunamuziki unapigwa mpaka Congo,

Namaanisha WAAH! NA YOPE. 😀😀😀😅😀😀😀
 
Back
Top Bottom