Kuna tofauti kati ya "kujitia hamnazo (kujifanya hamnazo)" na "kuwa hamnazo".Kujitia hamnazo maana yake ni sawa na kuwa na akili lakini unajifanya hunazo ama kuwa na uelewa wa kitu lakini ulajifanya hukijui
Kwahiyo hapa the Citizen walimaanisha nini?Kuna tofauti kati ya "kujitia hamnazo (kujifanya hamnazo)" na "kuwa hamnazo".
Kwahiyo hapa the Citizen walimaanisha nini?
Wanavaa sana huwezi kwenda maeneo ya mikusanyiko mikubwa bila barakoa makanisani bado wanakaa kwa distance na wanavaa barakoa na kunawa mikonoWewe umeona wakenya bado wanavaa barakoa?!
Ndio demokrasi hiyo au unafikiri huku kwetu mungu mtu atupangie cha kuongeaWao ndio hamnazo viongozi wao wakuu wanarushiana vijembe hadharani!
kwaiyo sisi ni hamnazo?Sio kosa hapo. Tatizo atupendi kuambiwa ukweli
Wamesema ukweliSio kosa hapo. Tatizo atupendi kuambiwa ukweli
Dadavua kidogo hiyo kauli na fatilia yanaendelea kwenye hii nchi hasa kwenye huu ugonjwa thn uniambie tofauti ya huo msemo na tunachofanya ni ninikwaiyo sisi ni hamnazo?
... "sisi"? Wewe na nani? Imetajwa Tanzania sio wewe!kwaiyo sisi ni hamnazo?
Kweli ni hamnazo. Wako sahihiView attachment 1708813
kauli gani hiyo wametumia? hii ni dharau na inabidi watuombe radhi, huku ni kulidharau taifa zima
Naona Kenya inataka kushika Nyati sehemu za siri SasaHawa ndugu zetu Wakenya naona wameamua kuishika Serikali yetu sharubu kwa kutuita “Hamnazo”
View attachment 1708621
Sasa hapo kuna ubaya gani?Hawa ndugu zetu Wakenya naona wameamua kuishika Serikali yetu sharubu kwa kutuita “Hamnazo”
View attachment 1708621
Wao ndio hamnazo viongozi wao wakuu wanarushiana vijembe hadharani!
Ufipa ndio hamuwezi kujilinganisha na ODM ya wajaluo!nyinyi mnaweza kujilinganisha na Wakenya?