Yaani wewe ni zaidi kituko cha mwaka Kenya inaheshimu sana ushauri wa kitaaluma na kisayansi na kwa taarifa yako hapa Kenya barakoa ni zaidi ya kupiga mswaki.Wewe umeona wakenya bado wanavaa barakoa?!
Umeona mikutano ya BBI ya Uhuru na Ruto au bado umekariri bwashee?Yaani wewe ni zaidi kituko cha mwaka Kenya inaheshimu sana ushauri wa kitaaluma na kisayansi na kwa taarifa yako hapa Kenya barakoa ni zaidi ya kupiga mswaki.
Ndio hivyo wajaluo wana uwezo wa kuendesha chama tofauti na wamachame!Nonsense
Wao ndio hamnazo viongozi wao wakuu wanarushiana vijembe hadharani!
Endelea kukariri bwashee!PM:Vaeni barakoa jilinde na uwalinde wengine.
JPM:Barakoa hizi hazifai zina virusi bla bla kibao
Hivi kwa kidhungu tusemeje,(Empty set),Walimaanisha sisi ni "hamnazo" yaani sisi vichwani mwetu hatuna akili (hamna kitu kichwani).
Duu tumekashifiwa basiWalimaanisha sisi ni "hamnazo" yaani sisi vichwani mwetu hatuna akili (hamna kitu kichwani).
Ohooo Kenya nao tayaro wamekua mabeberuHawa ndugu zetu Wakenya naona wameamua kuishika Serikali yetu sharubu kwa kutuita βHamnazoβ
View attachment 1708621
Reap what you sow brother...take it from me they wont apologizeView attachment 1708813
kauli gani hiyo wametumia? hii ni dharau na inabidi watuombe radhi, huku ni kulidharau taifa zima
Inajionyesha kuwa kichwani mwako upo empty,hiyo BBA ndiyo nini nchini Kenya?Umeona mikutano ya BBA ya Uhuru na Ruto au bado umekariri bwashee?
Kujitia hamnazo maana yake ni sawa na kuwa na akili lakini unajifanya hunazo ama kuwa na uelewa wa kitu lakini ulajifanya hukijui
Kenya wanatutia kidole,.Naona Kenya inataka kushika Nyati sehemu za siri Sasa
Hapana si kweli kabisa. Waliotuita ""Hamnazo" ni Shirika la Afya Duniani WHO. Citizen TV kazi yao ni kutoa taarifa kama walivyozipokea.Hawa ndugu zetu Wakenya naona wameamua kuishika Serikali yetu sharubu kwa kutuita βHamnazoβ
View attachment 1708621
Sahihii kabisa kiongoziKujitia hamnazo maana yake ni sawa na kuwa na akili lakini unajifanya hunazo ama kuwa na uelewa wa kitu lakini ulajifanya hukijui
Tutume vijana wa pale ngerengeree wakawateke tuu. Wanatumiwa na mabeberuu kutuchafua tuuView attachment 1708813
kauli gani hiyo wametumia? hii ni dharau na inabidi watuombe radhi, huku ni kulidharau taifa zima
Siasa za Kenya ngumuWao ndio hamnazo viongozi wao wakuu wanarushiana vijembe hadharani!
Na nyie wasemeniView attachment 1708813
kauli gani hiyo wametumia? hii ni dharau na inabidi watuombe radhi, huku ni kulidharau taifa zima