TCRA tunaomba mtusaidie Wananchi wenu, kuna mitandao ya simu kila ukiweka salio la fedha unatafutwa na namba ngeni

TCRA tunaomba mtusaidie Wananchi wenu, kuna mitandao ya simu kila ukiweka salio la fedha unatafutwa na namba ngeni

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Serikali ya Tanzania kupitia TCRA tunaomba mtusaidie Wananchi wenu, kuna mitandao ya simu (..) kila ukiweka salio la fedha unatafutwa na namba ngeni

Kuna mitandao fulani ya simu kila ukiweka salio la fedha katika account yako au ukitumiwa pesa unatafutwa na namba mpya yenye viashiria vya utapeli

Kinachonipa maswali ni kuwa kwanini kila ukipokea pesa au ukiweka pesa kwenye account yako basi unatafutwa na mtu anayezungumzia maswala ya pesa mwenye viashiria vya utapeli

Hawa matapeli ni nani kwasababu inaonekana dhahidi wana access ya account za pesa za Wananchi
Kama kuna Wananchi wamegundua hili waungane nami hapa tujadili na kupata ufumbuzi
 
Serikali ya Tanzania kupitia TCRA tunaomba mtusaidie Wananchi wenu, kuna mitandao ya simu (..) kila ukiweka salio la fedha unatafutwa na namba ngeni

Kuna mitandao fulani ya simu kila ukiweka salio la fedha katika account yako au ukitumiwa pesa unatafutwa na namba mpya yenye viashiria vya utapeli

Kinachonipa maswali ni kuwa kwanini kila ukipokea pesa au ukiweka pesa kwenye account yako basi unatafutwa na mtu anayezungumzia maswala ya pesa mwenye viashiria vya utapeli

Hawa matapeli ni nani kwasababu inaonekana dhahidi wana access ya account za pesa za Wananchi
Kama kuna Wananchi wamegundua hili waungane nami hapa tujadili na kupata ufumbuzi
Voda haoo
 
Serikali ya Tanzania kupitia TCRA tunaomba mtusaidie Wananchi wenu, kuna mitandao ya simu (..) kila ukiweka salio la fedha unatafutwa na namba ngeni

Kuna mitandao fulani ya simu kila ukiweka salio la fedha katika account yako au ukitumiwa pesa unatafutwa na namba mpya yenye viashiria vya utapeli

Kinachonipa maswali ni kuwa kwanini kila ukipokea pesa au ukiweka pesa kwenye account yako basi unatafutwa na mtu anayezungumzia maswala ya pesa mwenye viashiria vya utapeli

Hawa matapeli ni nani kwasababu inaonekana dhahidi wana access ya account za pesa za Wananchi
Kama kuna Wananchi wamegundua hili waungane nami hapa tujadili na kupata ufumbuzi
Upo sahihi.Mimi nikipata nitumie kwa namba hii nariport fasta hiyo namba ya mtumaji na mpokeaji "mwenye namba hii" kwa 15040.
 
Leo hii baada ya kweka hela mtandao wa wale jamaa wa Mashariki ya Mbali....
Screenshot_20250210_213001.jpg
 
Upo sahihi.Mimi nikipata nitumie kwa namba hii nariport fasta hiyo namba ya mtumaji na mpokeaji "mwenye namba hii" kwa 15040.
Unatafutwa na namba ngeni mpaka WhatsApp kila ukipokea pesa au ukiweka katika account yako
Namba inayokutafuta WhatsApp inaweza ikawa ya nje lakini lugha ni ya Kiswahili
 
Serikali ya Tanzania kupitia TCRA tunaomba mtusaidie Wananchi wenu, kuna mitandao ya simu (..) kila ukiweka salio la fedha unatafutwa na namba ngeni

Kuna mitandao fulani ya simu kila ukiweka salio la fedha katika account yako au ukitumiwa pesa unatafutwa na namba mpya yenye viashiria vya utapeli

Kinachonipa maswali ni kuwa kwanini kila ukipokea pesa au ukiweka pesa kwenye account yako basi unatafutwa na mtu anayezungumzia maswala ya pesa mwenye viashiria vya utapeli

Hawa matapeli ni nani kwasababu inaonekana dhahidi wana access ya account za pesa za Wananchi
Kama kuna Wananchi wamegundua hili waungane nami hapa tujadili na kupata ufumbuzi
Wako bize na maadhimisho ya miaka 48 ya CCM , nchi imeozeshwa hii!
 
Unatafutwa na namba ngeni mpaka WhatsApp kila ukipokea pesa au ukiweka katika account yako
Namba inayokutafuta WhatsApp inaweza ikawa ya nje lakini lugha ni ya Kiswahili
Cha ajabu ukipiga namba ya mtumaji wa hiyo meseji unaambiwa haipo!! Sasa line tunasajiri za nini kama hawa jamaa wanatumia namba ambazo hazipo? Je ni kazi ya ndani ya mtandao husika?
 
Cha ajabu ukipiga namba ya mtumaji wa hiyo meseji unaambiwa haipo!! Sasa line tunasajiri za nini kama hawa jamaa wanatumia namba ambazo hazipo? Je ni kazi ya ndani ya mtandao husika?
Kuna mpango wa siri unaendelea, huu ni utapeli wa kulenga kabisa, unatafutwa baada ya kupokea pesa tu
 
kuna wafanyakazi sio waaminifu hii hata benki ipo wafanyakazi wanajua mpaka wateja wenye ukwasi mrefu kwenye acc.
 
Serikali ya Tanzania kupitia TCRA tunaomba mtusaidie Wananchi wenu, kuna mitandao ya simu (..) kila ukiweka salio la fedha unatafutwa na namba ngeni

Kuna mitandao fulani ya simu kila ukiweka salio la fedha katika account yako au ukitumiwa pesa unatafutwa na namba mpya yenye viashiria vya utapeli

Kinachonipa maswali ni kuwa kwanini kila ukipokea pesa au ukiweka pesa kwenye account yako basi unatafutwa na mtu anayezungumzia maswala ya pesa mwenye viashiria vya utapeli

Hawa matapeli ni nani kwasababu inaonekana dhahidi wana access ya account za pesa za Wananchi
Kama kuna Wananchi wamegundua hili waungane nami hapa tujadili na kupata ufumbuzi
HEWA-tel wanao sana ujinga huo.
 
Back
Top Bottom