Mtoa Taarifa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2024
- 213
- 671
Akizungumza kupitia Power Breakfasta leo Oktoba 30, 2024, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma amesema "Kwenye utapeli kabla na baada ya zoezi la usajili wa laini za simu tofauti ipo kubwa sana. Ukiangalia ripoti ya Robo mwaka ya performance ya mawasiliano kwenye takwimu za mawasiliano inaonyesha takribani laini za simu zilizosajiliwa ni Mil. 80.
"Ukiangalia takwimu zinaonyesha katika ripoti ya September laini ambazo ziliripotiwa kuhusika na uhalifu na utapeli ni Elfu 16. Ukilinganisha na ripoti iliyopita ilikuwa ni laini Elfu 22.
"Ina maana kwa kadri wananchi wanavyoelimishwa endapo mtu atakutumia meseji tuma kwa namba hii, umeshinda bahati nasibu au kuna bonasi unatakiwa kupata. Au umepigiwa simu na mtu ambaye sio mtoa huduma akijaribu kupata taarifa zako ni lazima waripoti kwenye namba 15040.
"Ukiripoti zile namba zote ambazo zinakuja zinashughulikiwa na kuchukuliwa hatua ikiwa ni pamoja na kuzifungia"- Rolf Kibaja- Mkuu wa Kitengo Cha Mawasiliano na uhusiano kwa Umma TCRA.
CLOUDS MEDIA
"Ukiangalia takwimu zinaonyesha katika ripoti ya September laini ambazo ziliripotiwa kuhusika na uhalifu na utapeli ni Elfu 16. Ukilinganisha na ripoti iliyopita ilikuwa ni laini Elfu 22.
"Ina maana kwa kadri wananchi wanavyoelimishwa endapo mtu atakutumia meseji tuma kwa namba hii, umeshinda bahati nasibu au kuna bonasi unatakiwa kupata. Au umepigiwa simu na mtu ambaye sio mtoa huduma akijaribu kupata taarifa zako ni lazima waripoti kwenye namba 15040.
"Ukiripoti zile namba zote ambazo zinakuja zinashughulikiwa na kuchukuliwa hatua ikiwa ni pamoja na kuzifungia"- Rolf Kibaja- Mkuu wa Kitengo Cha Mawasiliano na uhusiano kwa Umma TCRA.
CLOUDS MEDIA