FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kwanini walirusha badala ya kukatisha matangazo?Unamzuwiaje mtu kuongea,ikiwa unamfanyia usaili(interview),halafu labda ni live!!?..kwa nini wanawaadhibu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini walirusha badala ya kukatisha matangazo?Unamzuwiaje mtu kuongea,ikiwa unamfanyia usaili(interview),halafu labda ni live!!?..kwa nini wanawaadhibu?
Anahubiri utajiriSasa nabii halafu anamkashifu Yesu?? Au huko kwenye unabii anamhubiri Nani?? Maana unabii ni mojawapo ya karama za Roho mtakatifu ambaye huyo Roho mtakatifu tumeachiwa na Yesu (yoh14)ili awe msaidizi,mwalimu na mshauri katika safari ya kumjua Mungu.au ndo ile sikupendi Ila vitu vyako navipenda
Mkuu huyu shillah na masanja ni wachumia tumbo tu..Sasa nabii halafu anamkashifu Yesu?? Au huko kwenye unabii anamhubiri Nani?? Maana unabii ni mojawapo ya karama za Roho mtakatifu ambaye huyo Roho mtakatifu tumeachiwa na Yesu (yoh14)ili awe msaidizi,mwalimu na mshauri katika safari ya kumjua Mungu.au ndo ile sikupendi Ila vitu vyako navipenda
Madhara ya bangi mbichi hayawezi kukuacha salama.Upumbavu mtupu. YESU hawezi kupiganiwa na TCRA Aachwe Ajipiganie yeye mwenyewe.
Rafiki hadi nimepata hamu ghafla.Mungu bariki sana wasafi TV🤗🤗🤗
Si kishazungumza mtazamaji kaona!!?Kwanini walirusha badala ya kukatisha matangazo?
Wangekatiza kipindi na kuomba radhi hata kama ni live ila wao walishadidia ujinga wa huyo msengeremaUnamzuwiaje mtu kuongea,ikiwa unamfanyia usaili(interview),halafu labda ni live!!?..kwa nini wanawaadhibu?
Ingekuwa radio ya wakristu imefanya hivyo nadhani tungekuwa tunaongelea majivu maana wangekuwa waneshachoma motoKamati ya Maudhui ya TCRA, leo Jumatano imeipa onyo Wasafi Televisheni, pamoja na kuitaka iombe radhi mara tatu kwa siku, kuanzia kesho Alhamisi hadi Jumamosi, huku ikiiamuru ilipe faini ya Sh. 2 Mil., baada ya kukutwa na hatia katika kosa la kurusha maudhui yenye kukashifu dini ya Kikristo, baada ya mgeni wake, Nabii Daniel Shila, kudai ‘Yesu ni tapeli wa kwanza duniani’.
Source: mwanahalisi online
Ikiendelea hivi siku atatukanwa na Mudy ndio patachimbika si unawajua hawa ndugu zetu munkari wao ni kugusa tu.Hahahahaaaa
Kwanini serikali inaingilia?
Kwanini huyo Yesu asiende mahakamani kufungua shitaka kama kweli ameumia?
TCRA inaumia kwa niaba ya Yesu?
Muacheni huyo Yesu aliepata hayo maumivu ndio akashitaki
Anhaa hapo sawa maana utajiri hata shetani anatoa.
Hamu ya niniRafiki nimepata hamu ghafla.Mungu bariki sana wasafi TV[emoji847][emoji847][emoji847]
View attachment 2053559
Ila jamaa si ni nabii wa dini huyihiyo!!?Wangekatiza kipindi na kuomba radhi hata kama ni live ila wao walishadidia ujinga wa huyo msengerema