captain 21
JF-Expert Member
- Mar 27, 2021
- 585
- 1,185
Wafanyakazi hawana uwezo na welediWasafi wanaongoza kwa kulimwa adhabu.
Wakati Mh. Samia anachukua nchi,Wasafi walikuwa wanatumikia adhabu ya kufungiwa miezi 7.
Ni aidha wanafanya kusudi au hawapo makini pia Watangazaji hawana vigezo, uwezo na ueledi.