Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Yehodaya .Sheria ndivyo inavyotaka
Wanakumbushwa tu wasije jisahau wakafungiwa na kutozwa faini
Huu ndio uwendawazimu.
Uwendawazimu huu unafanywa kwa maslahi ya Magufuli na CCM.
Nyani haoni kunduleMbona sioni, ill-motive kwenye barua/tangazo hili?
Sheria Hiyo haijatungwa Leo ni ya siku nyingi media wanaijua. TCRA wanakumbushia tu. Huo ni wajibu wa media wenyewe sio vyama ya siasa.Yehodaya .
Kama hali ni hivi , uchaguzi mkuu unaitishwa kwa nini ?!.
Mimi CCM lakini nakuhakikishia siku za chama tawala madarakani zinahesabika. Trust me hakina zaidi ya miaka 10 unless something dramatic happens.Sheria ndivyo inavyotaka
Wanakumbushwa tu wasije jisahau wakafungiwa na kutozwa faini
Sheria ndivyo inavyotaka
Wanakumbushwa tu wasije jisahau wakafungiwa na kutozwa faini