Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeambiwa matukio ya ki calendar sio impromptu!!Kwa hiyo kukiwa na breaking news live ukaombe kibali kwanza?
Yehodaya .Sheria Hiyo haijatungwa Leo ni ya siku nyingi media wanaijua.TCRA wanakumbushia tu.Huo ni wajibu wa media wenyewe sio vyama ya siasa
Media zinazojielewa walishaomba hivyo vibali siku nyingi baada ya kupewa ratiba na wahusika wataka live
Hata ikitokea ajali ya basi la mkoa au ya ndege si watasema tu hii ilikuwa na ratiba ya kusafiri tayari kwa hiyo ni tukio la calendar! Jambazi akivamia eneo utaambiwa alikuwa keshapanga kwenye calendar yake kuwa aje kuvamia hili eneo kabla yake!Umeambiwa matukio ya ki calendar sio impromptu!!
Kampeni za uchaguzi mfano ni matukio yenye calendar kabisa ndiyo yanaongelewa au scheduled interview
Shetani hana rafikiDADEKI..
chichiem nchi imewashinda rasmi nipo upinzani mmezidi sijui mnaogopa nini..!
Lissu juu chadema juu zaidi.
Sijaona wanaposema kuomba kibali kwanza bali kuifahamisha tume.
Hii ni miongoni mwa Taasisi za mwanzo itakayofutiliwa mbali na kuundwa upya baada ya uchaguzi huu
Ajali ina ratiba? Tume imeweka wazi ni matukio yenye ratiba ajali na vifo havina ratiba lakini kampeni zina ratibaHata ikitokea ajali ya basi la mkoa au ya ndege si watasema tu hii ilikuwa na ratiba ya kusafiri tayari kwa hiyo ni tukio la calendar! Jambazi akivamia eneo utaambiwa alikuwa keshapanga kwenye calendar yake kuwa aje kuvamia hili eneo kabla yake!
Hakuna lolote. Anayetafutwa ni TL tu. Huu ujinga utaisha lini watu wapumue? Ee Mola wetu tusaidie!
Unasifia ukenge wa kenge wenzio??Jambo jema sana ,wasije rusha upuuzi
Unazungumzia miaka kumi?Mimi CCM lakini nakuhakikishia siku za chama tawala madarakani zinahesabika. Trust me hakina zaidi ya miaka 10 unless something dramatic happens.