Tetesi: TCRA Wanaomiliki laini (simkadi) zaidi ya moja katika mtandao mmoja kupokonywa ifikapo June 2020

Ndo hapo sasa
 
Soma boss

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona hao kila siku wanatuma SMS zao juzi wamenitumia, yaani ingekuwa kama Google na Yahoo mnawagomea ili wazitafune hizo line

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatuwezi kutoboaa kamweee

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kipindi mwaka nafikiri 1985 nilikuwa nasoma gazeti la Mfanyakazi.

Katika sehemu ya "Amini Usiamini" waliandika, jiji la Tokyo Japan lina line za simu nyingi kuliko bara zima la Africa.

Nafikiri tunataka kurudi huko.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Kwahili Jambo Mpaka Wangoje
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Aseme, Yaani Watuachie Laini Tutumie Muhimu Usajili Ukamilike
 
Wanaongeza usumbufu tu, kuna maana gani ya kusajili laini kwa vidole kama wanashindwa kuzifatilia mpaka waje kupangia watu idadi ya laini.
Kuna watu wana magari zaidi ya 50 yamefungwa GPS trackers, kuna watu wana security cameras zaidi ya 10 zimewekwa simcard, kuna watu wana mifumo ya alarm systems inayotumia simcard.

Wanakaa wana assume kila mwenye laini nyingi ni wale wa TUMA ELA HUKU, hata hilo tatizo walishindwa kulidhibiti wakaja na gia ya kusajili upya matatizo ya kuwa na watu wasiona tija kwenye nyazifa za kuteuana.

Ifike hao viongozi wa taasisi waombe hizo nafasi na wafanyiwe vetting, sio hawa wa kuteuliwa wanamawazo ya miaka 50 iliyopita.

Hapo wameona wenyewe wamefanya bonge la ubunifu kumbe hovyo kabisa.
 
Cheki hili liboya linawaza mapenzi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani hicho ndicho umewaza mkuu?
 
Hizi ndizo akili za TCRA!

No wonder!
 
Ni walewale zama hizo ni za kujimwambafai ubabeubabe tuwajue wao ni nani, kuna bwana yule alisema usipoweka pasiwedi kwenye simu yako faini shs5!!?!?! Nilijikuta nakuwa mtuhumiwa kwa kosa la kununua simu isiyo na pasiwedi. Mzazi amemnunulia mwanae simu ambaye hajatimiza miaka 18 hivyo hawezi kupata kitambulisho, mzazi kasajili laini kwa jina lake eti ni kosa! Awamu hii tinapenda sana kuwatia hatiani watu wema.
 
binafsi naona system zao zipo week, mbona benki ukienda ukitaka kufungua akaunti nyingine ya aina moja ukiweka kidole inakataa, inaonesha bio ilishachukuliw siku nyingi na akaunti yako wanakupa kama ulikuwa umesahau. sasa kwanini wao wasiweke huo mfumo kwamba ukiweka bio ionekane kuna namba tayari iliwahi kusajiliwa.
 
Kwani form kitu, tutaijaza tu, muhimu hiyo form ijazwe online ili kuondolea watu usumbufu wa foleni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…