Ndo hapo sasaHawa TCRA wamekua wasanii wasanii tu mimi mpaka leo sijasajili na bado nipo hewani kama kawa (hawajafunga) dogo walimfungia line zake baada ya muda akaziweka hewani zinapiga kazi kama kawaida (kuweka vocha kupiga simu na kujibu msg vyote vinafanyika)
kimsingi naweza kusema ni wazee wa kuzua taharuki tu ili wapate kiki hamna kazi wanafanya kama tu wameshidwa kuwathibiti wale wazee wa "ile hela tuma kwenye namba hii" sasa wataweza nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma bossUnaandika tetesi wakati kanuni ziko wazi tangia mwezi wa 2 tarehe 7! Na usipoteshe eti watapokonywa ila sema utapaswa kuchagua ni lain hipi uitumie na nyingine uziache na pia unaruhusiwa kuwa na lain zaid ya moja ndani ya mtandao mmoja isipokuwa lazima uireport utaitumia kwa matumizi ya modem tu na si vinginevyo.
Kama line zako hazijafungiwa maana yake ni kwamba hujapata namba ya Nida kabisa lkn siku ikizima jua namba ya Nida imepatikanaNdo hapo sasa
Mbona hao kila siku wanatuma SMS zao juzi wamenitumia, yaani ingekuwa kama Google na Yahoo mnawagomea ili wazitafune hizo lineHawa TCRA wamekua wasanii wasanii tu mimi mpaka leo sijasajili na bado nipo hewani kama kawa (hawajafunga) dogo walimfungia line zake baada ya muda akaziweka hewani zinapiga kazi kama kawaida (kuweka vocha kupiga simu na kujibu msg vyote vinafanyika)
kimsingi naweza kusema ni wazee wa kuzua taharuki tu ili wapate kiki hamna kazi wanafanya kama tu wameshidwa kuwathibiti wale wazee wa "ile hela tuma kwenye namba hii" sasa wataweza nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuwezi kutoboaa kamweeeHizi ni baadhi ya sababu hatuendelei.
Sent from my typewriter using Tapatalk
Kuna kipindi mwaka nafikiri 1985 nilikuwa nasoma gazeti la Mfanyakazi.
Wataalam wetu hawanaga ubunifu zaidi ya kutafta shortcut kama hizo ambazo hata asiyesoma angeamua hivyo
Cheki hili liboya linawaza mapenzi tuMkuu bora umemwambie wewe, Watu wamekuwa walalamishi mpaka inakera, anyway wengine wanajitetea kwa uhalifu wao waendeleee na Simu ya Mke na Mchepuko kivyake. Kwa wale Wafanyabiashara Rasmi upo utaratibu wa Simu za Kibiashara unapata mpaaka Laini 50 ktk mtandao mmoja. Sasa kama biashara yako hulipi kodi kazi kwako.
Mwanaume unamiliki laini za Simu kila mtandao kwani wewe Dalaliiii! Hizi dalili mbaya
Yaani hicho ndicho umewaza mkuu?Mkuu bora umemwambie wewe, Watu wamekuwa walalamishi mpaka inakera, anyway wengine wanajitetea kwa uhalifu wao waendeleee na Simu ya Mke na Mchepuko kivyake. Kwa wale Wafanyabiashara Rasmi upo utaratibu wa Simu za Kibiashara unapata mpaaka Laini 50 ktk mtandao mmoja. Sasa kama biashara yako hulipi kodi kazi kwako.
Mwanaume unamiliki laini za Simu kila mtandao kwani wewe Dalaliiii! Hizi dalili mbaya
Hizi ndizo akili za TCRA!Vip nawewe ni Kizazi malalamiko! Tafuta pessa mkuuu malalamiko hayana tijja. Ukiwa na pessa Laini moja tu ya Simu inakutosha huna hajja ya Haloteli umpigie kwa Halo, Voda kwa Voda nk. Ukiwa njema UNATWANGA KOTE KOTE KWA LAINI MOJA hayo mambo ya kuwa na Laini Kibao ni Ishara za Uwoga wa Maisha.
Ni walewale zama hizo ni za kujimwambafai ubabeubabe tuwajue wao ni nani, kuna bwana yule alisema usipoweka pasiwedi kwenye simu yako faini shs5!!?!?! Nilijikuta nakuwa mtuhumiwa kwa kosa la kununua simu isiyo na pasiwedi. Mzazi amemnunulia mwanae simu ambaye hajatimiza miaka 18 hivyo hawezi kupata kitambulisho, mzazi kasajili laini kwa jina lake eti ni kosa! Awamu hii tinapenda sana kuwatia hatiani watu wema.Kusema ukweli kwa hili TCRA mnatuchanganya! Inaonesha hamjajipanga!
Usumbufu umekuwa mwingi mno!
TCRA kwa hili sasa sio ungwana kabisa! Naona kama ni usumbufu mnaofanya wala siyo weledi!
- Tulisajili kwa majina mara ya kwanza, mkasema ni batili mkasema zoezi lirudiwe,
- Tukarudia tukasajili kwa vitambulisho vya kura, napo mkasema ni batili
- Mkasema tukamilishe usajili kwa kupiga picha mwaka juzi tukafanya hivyo lakini bado ikawa ni batili;
- Mwaka jana mkadai tusajili kwa vitambulisho vya NIDA kwa alama za vidole, tumefanya hivyo bado mnaona hiyo haitoshi!
- Mnataka mwaka huu wenye laini zaidi ya moja kwenye mtandao mmoja muwazimie simu zao walizozisajili
Kuna majibu mepesi eti; kwa wamiliki wanaohitaji laini zaidi ya moja watatakiwa kusaini fom maaalum;
Swali!
TCRA mtatukosea sana
- Kama electronic data za vidole hamziamini mtu amiliki laini apendavyo, je hizo fomu maalum ndo zitaaminika?
- Hizo fomu zinawafikiaje wananchi huko vijijini?
- Kuna wafanya biashara ambao wana office zaidi ya moja ambazo zinahitaji namba za simu zaidi ya moja hilo hamjalifikilia?
Kabisatumewazoea WAKUKURUPUKA NA MATAMKO
binafsi naona system zao zipo week, mbona benki ukienda ukitaka kufungua akaunti nyingine ya aina moja ukiweka kidole inakataa, inaonesha bio ilishachukuliw siku nyingi na akaunti yako wanakupa kama ulikuwa umesahau. sasa kwanini wao wasiweke huo mfumo kwamba ukiweka bio ionekane kuna namba tayari iliwahi kusajiliwa.Kusema ukweli kwa hili TCRA mnatuchanganya! Inaonesha hamjajipanga!
Usumbufu umekuwa mwingi mno!
TCRA kwa hili sasa sio ungwana kabisa! Naona kama ni usumbufu mnaofanya wala siyo weledi!
- Tulisajili kwa majina mara ya kwanza, mkasema ni batili mkasema zoezi lirudiwe,
- Tukarudia tukasajili kwa vitambulisho vya kura, napo mkasema ni batili
- Mkasema tukamilishe usajili kwa kupiga picha mwaka juzi tukafanya hivyo lakini bado ikawa ni batili;
- Mwaka jana mkadai tusajili kwa vitambulisho vya NIDA kwa alama za vidole, tumefanya hivyo bado mnaona hiyo haitoshi!
- Mnataka mwaka huu wenye laini zaidi ya moja kwenye mtandao mmoja muwazimie simu zao walizozisajili
Kuna majibu mepesi eti; kwa wamiliki wanaohitaji laini zaidi ya moja watatakiwa kusaini fom maaalum;
Swali!
TCRA mtatukosea sana
- Kama electronic data za vidole hamziamini mtu amiliki laini apendavyo, je hizo fomu maalum ndo zitaaminika?
- Hizo fomu zinawafikiaje wananchi huko vijijini?
- Kuna wafanya biashara ambao wana office zaidi ya moja ambazo zinahitaji namba za simu zaidi ya moja hilo hamjalifikilia?