Hizi ni baadhi ya sababu hatuendelei.
Sent from my typewriter using Tapatalk
Unaandika tetesi wakati kanuni ziko wazi tangia mwezi wa 2 tarehe 7! Na usipoteshe eti watapokonywa ila sema utapaswa kuchagua ni lain hipi uitumie na nyingine uziache na pia unaruhusiwa kuwa na lain zaid ya moja ndani ya mtandao mmoja isipokuwa lazima uireport utaitumia kwa matumizi ya modem tu na si vinginevyo.
Angalau wangeweka idadi maalum lakini siyo kuzuia mtu kuwa na zaidi ya moja utazan wanamwekea vocha waoUpuuzi ..shenzi kabisa,
Wenzetu wako wanakimbia kwa kasi sisi tumebaki tunahangaika na laini za simu
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wakitoka laini moja kwa kila mtandao, itakuja laini moja tuNa mkibaki na line moja,lazima tuhakiki upya,unakaa kwa balozi wako Ni nani
KabisaNa wakitoka laini moja kwa kila mtandao, itakuja laini moja tu
Vipi kama laini moja ni ya shughuli za kibiashara kwa mawasiliano na wateja na nyingine ni kwa ajili ya mawasiliano yangu binafsi, sio modem, inakuwajeUnaandika tetesi wakati kanuni ziko wazi tangia mwezi wa 2 tarehe 7! Na usipoteshe eti watapokonywa ila sema utapaswa kuchagua ni lain hipi uitumie na nyingine uziache na pia unaruhusiwa kuwa na lain zaid ya moja ndani ya mtandao mmoja isipokuwa lazima uireport utaitumia kwa matumizi ya modem tu na si vinginevyo.
Kusema ukweli kwa hili TCRA mnatuchanganya! Inaonesha hamjajipanga!
Usumbufu umekuwa mwingi mno!
TCRA kwa hili sasa sio ungwana kabisa! Naona kama ni usumbufu mnaofanya wala siyo weledi!
- Tulisajili kwa majina mara ya kwanza, mkasema ni batili mkasema zoezi lirudiwe,
- Tukarudia tukasajili kwa vitambulisho vya kura, napo mkasema ni batili
- Mkasema tukamilishe usajili kwa kupiga picha mwaka juzi tukafanya hivyo lakini bado ikawa ni batili;
- Mwaka jana mkadai tusajili kwa vitambulisho vya NIDA kwa alama za vidole, tumefanya hivyo bado mnaona hiyo haitoshi!
- Mnataka mwaka huu wenye laini zaidi ya moja kwenye mtandao mmoja muwazimie simu zao walizozisajili
Kuna majibu mepesi eti; kwa wamiliki wanaohitaji laini zaidi ya moja watatakiwa kusaini fom maaalum;
Swali!
TCRA mtatukosea sana
- Kama electronic data za vidole hamziamini mtu amiliki laini apendavyo, je hizo fomu maalum ndo zitaaminika?
- Hizo fomu zinawafikiaje wananchi huko vijijini?
- Kuna wafanya biashara ambao wana office zaidi ya moja ambazo zinahitaji namba za simu zaidi ya moja hilo hamjalifikilia?
Una hela gani wewe? Jitahidi mwaka huu utoke kwa shemeji yako lasivyo kijambio chako kipo hatarini.Vip nawewe ni Kizazi malalamiko! Tafuta pessa mkuuu malalamiko hayana tijja. Ukiwa na pessa Laini moja tu ya Simu inakutosha huna hajja ya Haloteli umpigie kwa Halo, Voda kwa Voda nk. Ukiwa njema UNATWANGA KOTE KOTE KWA LAINI MOJA hayo mambo ya kuwa na Laini Kibao ni Ishara za Uwoga wa Maisha.
Kwahiyo mtu unataka awape vimada namba yake rasmi ya simu?Vip nawewe ni Kizazi malalamiko! Tafuta pessa mkuuu malalamiko hayana tijja. Ukiwa na pessa Laini moja tu ya Simu inakutosha huna hajja ya Haloteli umpigie kwa Halo, Voda kwa Voda nk. Ukiwa njema UNATWANGA KOTE KOTE KWA LAINI MOJA hayo mambo ya kuwa na Laini Kibao ni Ishara za Uwoga wa Maisha.
Huo utakuwa ni uvunjwaji wa katiba....Haya mambo ya ajabu kabisa.
Tuambieni huu woga wa watu kumiliki namba zaidi ya moja kwa mtandao mmoja unatokana na nini?
Leteni sababu!!
Kama nimesajili namba moja yangu, ya pili nimeacha nyumbani kwa matumizi ya simu ya nyumbani inakuwaje hii?
Kama nimesajili laini tatu zingine za kwenye vibanda vyangu vya biashara ya kawaida sio kampuni inakuwaje hii?
Hizo kanuni zina contradict sheria mama
Mkuu bora umemwambie wewe, Watu wamekuwa walalamishi mpaka inakera, anyway wengine wanajitetea kwa uhalifu wao waendeleee na Simu ya Mke na Mchepuko kivyake. Kwa wale Wafanyabiashara Rasmi upo utaratibu wa Simu za Kibiashara unapata mpaaka Laini 50 ktk mtandao mmoja. Sasa kama biashara yako hulipi kodi kazi kwako.
Mwanaume unamiliki laini za Simu kila mtandao kwani wewe Dalaliiii! Hizi dalili mbaya
Hajitambui huyo!Una matatizo ya akili, japo ni kazi sana kuliona hili, let say ninazo line mbili kwa sababu ya michepuko wewe kama binti unaumia nini?
Sent using Jamii Forums mobile app