Tetesi: TCRA Wanaomiliki laini (simkadi) zaidi ya moja katika mtandao mmoja kupokonywa ifikapo June 2020

Nashindwa kuelewa walio tunga hizi sheria walikuwa wamelewa ? Au walidownload file Google's la hizi sheria bila kufanya editing zikapitishwa ili zitumike.

Maana bunge limejaa wasomi na ndo moja ya kazi yao ya kutunga miswada kuwa sheria sasa hii ya laini 1 sijui ilipita vip.

Itafika kipindi kusajili laini unatuma maombi na vyeti juu kama vile tunaomba kazi, maana hii ya vidole hawaiamini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TCRA wanaanza kuwa washamba sasa. Mtu anaweza kuwa na laini ya familia kuachia watoto na wageni nyumbani, laini ya binafsi au ya kazi na laini kwa ajili ya kujiunga na vifurushi vya data ya mtandao. Shame on you TCRA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kwa hiyo post unajiona booooonge la mjanjaaaa! Kumbe hovyo tu mavi kinuka
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Mmi nina sim card mbili moja ni ya biashara ipo kwenye social media na vipepereshi hii naizima ikifika saa kumi na mbili jion pia juma pili na sikukuu siiwashi na line nyingine ndio matumiz yangu binafsi hii sheria ni ya ki whack balaa

Nenda kaisajiri June 2020 sio mbali....
 

Cha msingi hiyo line isihusishwe na matukio ya uhalifu.... Ya Idris Sultan umeyasikia?!.
 
yaani tutapata tabu
 
Mimi nashauri tcra ingejikita kuhakikisha hizi huduma za mawasiliano zinaboreshwa,,huduma ziwe Bei nafuu kwa raia,I wafanye raia kuwa na maisha Bora na wafurahie maisha,,Hilo ndo lengo la kuishi Hapa duniani,
Sio unapata kacheo,unaanza kuleta sheria ngumu ngumu zinazofanya maisha yazidi kuwa complicated.
Hakunaga mtu Hapa duniani ataishi na cheo milele.make life better at least for the sake of your siblings
 
Halotel wameshaanza kutukumbusha.Nimetumiwa hii sms.

Dear customer. To ensure communication Please dial *106# and select 3 to choose main number for voice. Thank you!
 
umeongea kwa hisia Sana! good advice!
binadam wengi wakipata wengine huwaona Kama punda tu
 
Wewe boya kabisa kwani wewe ni msemaji wao? Hatuhitaji majibu kutoka kwako wewe ndo mpotishaji usumbufu tupatao kwa TCRA tunaujua sisi wewe kama unatumia simu ya shangazi yako kaa pembeni
 
Awamu hii ni usumbufu mwanzo mwisho kuna NIDA,TCRA,na uchafu kibao.
 
Mabadiliko ya Mara kwa Mara yanayofanywa na regulators wa jambo lolote yanaonyesha hali ya kutojiamini....imagine hivi punde tu RAIA walikuwa wanahangaika kusajili laini kwa alama za vidole.....regulator ameona mini kiasi kwamba hata miaka miwili haijaisha usumbufu unaanza.Kwa nini hilo halikuwekwa wazi wakati wa usajili ili kuwapunguzia wananchi usumbufu?
Kama hofu ni ihalifu utaratibu ule haukukidhi haja ya kuwakamata wahalifu.Mimi binafsi naona kuwa ikiwa MTU anamiliki laini zaidi ya moja mtandao mmoja na hazitumii kihalifu aachwe tu.
NB.Afrika kusini ya jangwa LA sahara kuendelea itachukua muda!!!!!
 
Huemda mlengwa hajapatikana.
 
Sasa tukimiliki laini zaidi ya moja kuna madhara gani? labda waje watueleweshe kama kuna sababu yoyote ya msingi. vinginevyo ni kuipunguzia mapato nchi kwa huo muda watakaozima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…