Tema mate chini mkuu.Huyu Mkurugenzi kumbe ndo sababu alifiwa na watoto wote kwenye ajali ya gari, tulimwonea huruma Kumbe ni jitu la TISS lenye roho mbaya kumzidi Shetani
Janee umenitupa janeeWakitoroka je?
Imetungwa wakati wake yeye na Magunzi, mashetani tu Haya usinisumbueTema mate chini mkuu.
Labda niulize hiyo sheria anayotekeleza ilitungwa lini?
Na nini? Na je ameikiuka?
Umeona mbali mkuu'Internet' hapo nahisi ndio Target
Uchaguzi 2020 una mengi
Bwashee hiyo kampun Ina thaman ya kias gan?Na wewe kwa akili yako kosa la miezi mitano faini yake ni bilioni 11? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Siwatangaze tu wameifilisi hiyo kampuni?
Sijakuambia ujibu. Ungepita tu kimya. Hata sasa kama husumbukiImetungwa wakati wake yeye na Magunzi, mashetani tu Haya usinisumbue
Hiyo sekta binafsi zipo mahututiDuuhh!!
Hadi nimegopa....Kampuni inaweza kufilisika
11.85 Billion faini kwa kosa la kuanzia March - August, 2020
Tunakoelekea SEKTA BINAFSI, Mwenyezi Mungu ndio anajua
Tuendelee kuiombea sekta binafsi na hizi Mamlaka za Serikali HEKIMA na Busara.
Sasa unataka kujilinganisha nao? Wacha wazimu.Kama kila kitu tunaona upuuzi acheni Tz liwe shamba la bibi majengo ya hizi tasisi tupigie rumba .
Mwenye uwezo wa Redio, Tv Kuvua samaki , ikiwa ni Uwindaji au chochote tusimbugudhi, maana ni uupuzi kila serkali ikfanya.
Lkn hakika ukienda kwao hata ku puuu utalipia kodi.
Yaani rushwe matangazo ya redio bila kulipia, thubutuuuu. Yaani sijui kwanini tujidharau hivi? Tuko inferior kwa hawa jamaa mpaka wanatushangaa.
Hayo ni manyunyu tu mvua bado.Watanzania tujiandae kulipa gharama za kuingiza washamba ikulu!UPUUZI MTUPU! Kampuni thamani yake haifiki hata bilioni moja halafu faini yake ni bilioni 11? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Serikali ya kumeza wajasiliamaliUPUUZI MTUPU! Kampuni thamani yake haifiki hata bilioni moja halafu faini yake ni bilioni 11? 😳😳😳😳
Ndio ma GT wa JF hao mkuu kila kitu kwao ni upuuzi.Kama kila kitu tunaona upuuzi acheni Tz liwe shamba la bibi majengo ya hizi tasisi tupigie rumba.
Mwenye uwezo wa Redio, Tv Kuvua samaki , ikiwa ni Uwindaji au chochote tusimbugudhi, maana ni uupuzi kila serkali ikfanya.
Lkn hakika ukienda kwao hata ku puuu utalipia kodi.
Yaani rushwe matangazo ya redio bila kulipia, thubutuuuu. Yaani sijui kwanini tujidharau hivi? Tuko inferior kwa hawa jamaa mpaka wanatushangaa.
Shida hapo ni ili Lisu asionekane popote'Internet' hapo nahisi ndio Target
Uchaguzi 2020 una mengi
Sielewi utawala wa sheria wanao udai sijui sheria zipi?Ndio ma GT wa JF hao mkuu kila kitu kwao ni upuuzi.