Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Tema mate chini mkuu.Huyu Mkurugenzi kumbe ndo sababu alifiwa na watoto wote kwenye ajali ya gari, tulimwonea huruma Kumbe ni jitu la TISS lenye roho mbaya kumzidi Shetani
Labda niulize hiyo sheria anayotekeleza ilitungwa lini?
Na nini? Na je ameikiuka?