TCRA yaipiga faini ya Tsh. bilioni 11.89 Kampuni ya Intaneti ya Raha Limited kwa kuendesha shughuli zake bila kuwa na kibali

TCRA yaipiga faini ya Tsh. bilioni 11.89 Kampuni ya Intaneti ya Raha Limited kwa kuendesha shughuli zake bila kuwa na kibali

Na wewe kwa akili yako kosa la miezi mitano faini yake ni bilioni 11? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Siwatangaze tu wameifilisi hiyo kampuni?
Bwashee hiyo kampun Ina thaman ya kias gan?
 
Kama kila kitu tunaona upuuzi acheni Tz liwe shamba la bibi majengo ya hizi tasisi tupigie rumba .
Mwenye uwezo wa Redio, Tv Kuvua samaki , ikiwa ni Uwindaji au chochote tusimbugudhi, maana ni uupuzi kila serkali ikfanya.

Lkn hakika ukienda kwao hata ku puuu utalipia kodi.

Yaani rushwe matangazo ya redio bila kulipia, thubutuuuu. Yaani sijui kwanini tujidharau hivi? Tuko inferior kwa hawa jamaa mpaka wanatushangaa.
Sasa unataka kujilinganisha nao? Wacha wazimu.
 
Serikali inafanya biashara hiyo hiyo ya "internet" halafu yenyewe hiyo hiyo inasimamia sekta hiyo hiyo ya biashara kama refa!

Unategemea level playing field?Itokee wapi?

Government is a flawed system causing all these miseries to innocent hardworking peoples!

Polticians are evil people kabisa!
 
Kama kila kitu tunaona upuuzi acheni Tz liwe shamba la bibi majengo ya hizi tasisi tupigie rumba.

Mwenye uwezo wa Redio, Tv Kuvua samaki , ikiwa ni Uwindaji au chochote tusimbugudhi, maana ni uupuzi kila serkali ikfanya.

Lkn hakika ukienda kwao hata ku puuu utalipia kodi.

Yaani rushwe matangazo ya redio bila kulipia, thubutuuuu. Yaani sijui kwanini tujidharau hivi? Tuko inferior kwa hawa jamaa mpaka wanatushangaa.
Ndio ma GT wa JF hao mkuu kila kitu kwao ni upuuzi.
 
Ndio ma GT wa JF hao mkuu kila kitu kwao ni upuuzi.
Sielewi utawala wa sheria wanao udai sijui sheria zipi?
Freedom of speech
Domokrasi
Kutekwa
BASIIII
Sheia zingine zikafie mbele
Bado sana
 
Back
Top Bottom