Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Hata democracy ukiondoa term limits, hakuna tunachowazidi Burundi na Uganda.Tanzania ni sehemu hatarishi kwa uwekezaji kuliko hata Zimbabwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata democracy ukiondoa term limits, hakuna tunachowazidi Burundi na Uganda.Tanzania ni sehemu hatarishi kwa uwekezaji kuliko hata Zimbabwe
Swali ni kwann ulifanya kazi bila kibali ndoshida inaanzia hapo, yaani utajitetea vipi kwamfano aiseee? Tena hiyo ndgo ukiangalia na formula zake kwa usahihi unaweza kukuta unatakiwa kulipa T na sio BUPUUZI MTUPU! Kampuni thamani yake haifiki hata bilioni moja halafu faini yake ni bilioni 11? 😳😳😳😳
Rais alisema serikali haitolala mkidhani eti kisa tuko kwenye uchaguzi hawatolala.Hadi october tutashuhudia mengi
Amechezea rasilimali ya taifa. Kagoogle rasimali maanayke nn?Tanzania ni sehemu hatarishi kwa uwekezaji kuliko hata Zimbabwe
Sasa hiyo kampuni kama imeendesha shughuli bila kibali ikiondoka watawakamata wapi
swali ni kwann ulifanya kazi bila kibali ndoshida inaanzia hapo...yaani utajitetea vipi kwamfano aiseee???tena hiyo ndgo ukiangalia na formula zake kwa usahihi unaweza kukuta unatakiwa kulipa T na sio B
11.89Kha,,,,,,bilioni???
UPUUZI MTUPU! Kampuni thamani yake haifiki hata bilioni moja halafu faini yake ni bilioni 11? 😳😳😳😳
Heshimu sheriaKampuni thamani yake haifiki hata bilioni moja halafu faini yake ni bilioni 11? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Wanatoa huduma gani mkuuHao ndio "Raha Liquid Telecom" hapa nianze tu tafuta..
pakuhamia maana najua hasira zote zitaletwa kwetu wateja..
[emoji849][emoji849] kwani bafo hujakata keseni ya akaunt yako?[emoji23]Aisee sasaivi mambo ni balaa . usikute hata hii account yangu ya JF natakiwa niikatie kibali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089]Tisiaraei sahivi ameota mapembe kama kaka yake tiaraei..
ingia website yao www.liquidtelecom.com utaona kila wanachokifanyaWanatoa huduma gani mkuu
Napenda ulivyoiandika yesu fake hahahhh y in lower case