Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye RED:
Kama tunakubaliana na majibu hayo watanzania nis shuruti pia tukubaliane na ndugu zetu wa MOI Muhimbili waliopasua kichwa badala ya goti.
Wao pia ni binadamu. Hawana viungo vya ziada kuwazidi wahasibu wa TCRA
Why double standards!
hao wajumbe wa bodi pia ni mafisadi waunganishwe kwenye ile orodha.mwenye majina yao atuwekee hapa tuwajue vizuri unaweza kupatwa na mshangao ukiwajua
hao wajumbe wa bodi pia ni mafisadi waunganishwe kwenye ile orodha.mwenye majina yao atuwekee hapa tuwajue vizuri unaweza kupatwa na mshangao ukiwajua
Kwenye RED:
Huyu mzee alikuwa Jugde wa mahakama jee kawafunga watu wangapi kwa makosa ya kibinadam na aliwaachia wangapi kwa makosa ya kibinaadam
This is too low kwa mwanasheria aliyejubuhu kama yeye
Kusomesha wafanyakazi watatu kwa mwaka kwa sh 2.2bn ni "makosa ya ki-uhasibu"! Kweli Mi-Afrika ndivyo tulivyo!
Only found in TZ na cha ajabu hawasemi ni kozi ipi na ya kiwango kipi Bsc, MSc, Phd au professional course......???
THIS COUINTRY IS RUNNING ON IT'S OWN BULLSHIT
Jamani acheni kulalamika,kozi za mambo ya mawasiliano ni aghali sana