TCRA: Yatoa neno kwa Vyombo vya Habari vinavyowatumia watangazaji wasio na Taaluma ya Habari

Dida ana diploma au degree?!

Maana kwa mujibu Wa sheria Mpya waandishi Wa habari wenye certificate tu hawatakiwi mjengoni,,, wanaokuwa verified or justified ni wale wenye tu either degree (shahada) or diploma (stashahada)
Dida ana diploma.
 
Kuna vipindi vya umbea, matusi, kuchambana halafu unataka uwe na taifa lenye watu waelevu hii sheria imechelewa sana
 
Kumekucha🤣🤣🤣 watoto wa mjini sijui wataishije maana vipindi vya burudani watangazaji wake wengi hata chuo baadhi hawajakanyaga ,
 
Hii kitu inanikumbusha sakata la vyeti vya bwana Bashite
 
Nadhani wangesema tu uwe na digrii au diploma yoyote lakini sio lazima iwe ya uandishi wa habari..maana mtu anaweza kuajiriwa kama mtangazaj na mchambuzi wa masuala ya siasa na labda ana digrii ya political science...mtu aliesoma journalism au mass comm anaweza kuchambua habari za uchumi au siasa vzr?
 
steve nyerere arudi mtaani akakusanye rambirambi, huenda kaka pascal mayala akapata ajira akaacha kutusumbua na kampeni za JF
 
Wacha kuongelea professional za watu kirahisi rahisi namna hyo, kwahyo hao wanaosomea journalism utawaajiri ww, ofcz ur name reflects how shallow u r, sorry km ntakuwa nimekukwaza but uwe unafikiria kwnz.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…