Kwa maneno hayo adhabu waliyopewa ni ndogo,walipaswa kufungiwa kituo kabisa
Kaka usiongee kwa kutokujua, wasafi wana leseni ya Zanzibar sio Tanzania bara. So leseni waliombea ZanzibarKabda ya Wasafi media mwaka 2017 jun 16 huyohuyo alitoa huyo hukumu ( sipendi kumtaja kwa jina) alitutamkia kuwa "Leseni (kibari) cha kulusha matangazo ( kufungua) Radio na tv kwa Der-es salaam hakitolowi tena nafasi zimejaa " tulipokuwa tunafatilia kibali hicho. Baadae tunaskia Wasafi wamepewa, dah! Nikachoka . Kufuatilia naambiwa Mtia nia wa Kigamboni amehusika .
Nachotaka kueleza hapa ni kwamba taasisi na kampuni nyingi za kitanzania huwa tumia watu walio kwenye mamlaka (aidha kwa kuwapa rushwa au kwa ukaribu wake na watu hao) kuwapitia mbele katika kufanikisha masuala flani hata kama ni kinyume na taratibu. Sasa baadae kampuni/taasisi hizo hujiaminisha kupitia mtu wao huyo au ukaribu na kiongozi flani kwamba hakuna wakuwagusa.
Sasa inapotokea mambo yamewageuka na haki inapotendeka huisi wanaonea wanasahau kuwa kipindi wanakiuka sheria kuna watu wamedhurika
Upande wa kulia nyuma ninamuona gagula wa Mbeya.CCM oyeee.View attachment 1566479
Makosa ya kimaudhui yaliyofanyika si ya kuyaunga mkono."leo mtakaa pembeni na kutuacha tuteseke peke yetu mkiamini kuwa hayawahusu ila wakimalizana na sisi watawageukia na nyie" By Tundu Lissu
Lesseni ya Zanzabar unaweza lushia matangazo bara? Hebu nipe shule mzee inakuaje apoKaka usiongee kwa kutokujua, wasafi wana leseni ya Zanzibar sio Tanzania bara. So leseni waliombea Zanzibar
Uyo baba levo anataaluma ya utangazaji kweli?Ila niliitazama kile kipindi kiukweli TCRA wanakahaki ya kufungia stesheni. Yaani kipindi kimekosa maudhui hadi basi.....
Baba levo aliulizwa swali kuwa kati ya mwanamke mnene mwenye shepu na wembamba ni yupi anapendelea....
Baba levo akajibu yeye wanawake wanene/mabonge asichowapendea ni wanachoka haraka kitandani halafu wanakuharakisha na wewe ukojoe haraka haraka, so yeye huwa anachofanya anawakojolea mkojo wa kawaida na sio bao lile bao la utamu.....
Katika hali ya kawaida mazungumzo ya namna hii hayana hadhi ya kurushwa hewani as if ni jambo la kawaida na wakati ni kinyume na maadili yetu ya kitanzania na kiafrika lakini mbaya zaidi inachochea maswala ya ngono.
shida yetu watanzania ni kubwa sana kuliko tunavyodhania. Nadhani shida yetu ni elimu tuliyopewa haitoshi, hata Professor wa nchi hii hajimudu kabisa, itahitaji lazima ajikombe kidogo ndio apate nafuu fulani ya maisha. Waandishi wa habari hawajitambui kabisa, sasa hivi wamekumbwa na pepo la kuvizia kuteuliwa inayosababisha waache kutangaza wanachopaswa kutangaza na badala yake kugeukia vipindi vya kipuuzi vya mipasho na michezo.Sentence hii ilibeba maono makubwa mno
it is a matter of time, iko siku Radio itakuwa TBC na Uhuru tuKila mmoja atafikiwa kwa muda wake yaani, jini limeshatoka kwenye chupa.
Hata Marekani vipindi kama hivyo hipo, lakini ni kuanzia saa 5 usiku na kuendelea... kabla ya saa 10 alfajiriIla niliitazama kile kipindi kiukweli TCRA wanakahaki ya kufungia stesheni. Yaani kipindi kimekosa maudhui hadi basi.....
Baba levo aliulizwa swali kuwa kati ya mwanamke mnene mwenye shepu na wembamba ni yupi anapendelea....
Baba levo akajibu yeye wanawake wanene/mabonge asichowapendea ni wanachoka haraka kitandani halafu wanakuharakisha na wewe ukojoe haraka haraka, so yeye huwa anachofanya anawakojolea mkojo wa kawaida na sio bao lile bao la utamu.....
Katika hali ya kawaida mazungumzo ya namna hii hayana hadhi ya kurushwa hewani as if ni jambo la kawaida na wakati ni kinyume na maadili yetu ya kitanzania na kiafrika lakini mbaya zaidi inachochea maswala ya ngono.
ustaarabu upi? mavazi yanayovaliwa na vijana wetu yanayoacha wazi mwili yana maadili? nani anayafungia yasiingizwe, yasishonwe na yasivaliwe kwenye public? Viredio na vitv vyetu vimejaa watangazaji waliojaa hofu na wasio na weledi. Mwandishi wa habari duniani kote ni kazi ya wito kama ilivyo kwa wanajeshi. Saa yoyote mwandishi anapata misukosuko hata kufa. Waandishi wetu wanajitahidi kuukwepa ukweli huo, hivyo kujikita kwenye vipindi visivyokuwakuwa na maana na kuiacha kazi ya kuwa mhimili wa 4 wa dola.Baba levo nae anataka kuuharibu ustaarabu wa kitanzania Mila na desturi zetu
Maendeleo hayana vyama
Ni maandalizi ya namna ya kutangaza matokeoDuh Hahahaha
Dozi wanapewa zam kwa zam
Ova
Ulikisikia alichoongea babalevo kweli wewe?ustaarabu upi? mavazi yanayovaliwa na vijana wetu yanayoacha wazi mwili yana maadili? nani anayafungia yasiingizwe, yasishonwe na yasivaliwe kwenye public? Viredio na vitv vyetu vimejaa watangazaji waliojaa hofu na wasio na weledi. Mwandishi wa habari duniani kote ni kazi ya wito kama ilivyo kwa wanajeshi. Saa yoyote mwandishi anapata misukosuko hata kufa. Waandishi wetu wanajitahidi kuukwepa ukweli huo, hivyo kujikita kwenye vipindi visivyokuwakuwa na maana na kuiacha kazi ya kuwa mhimili wa 4 wa dola.
Hahahaaaa...... Sheria ni msumeno bwashee!
Watu hawamjui Magu hii ni kufuta aibu ile ya dom domo alipozuiwa na watu wenye dhamana ya kumlinda Rais wetuCCM oyeee.View attachment 1566479
Mzee huwa unasikilizaga nyimbo za bongo fleva zinazopigwa hata TBC? Mwanaume mashine, tipwatipwa tetema, zile za Nandi, Harmonize, nkUlikisikia alichoongea babalevo kweli wewe?
Na je hayo maovu mengine uliyotaja ndio yanahalalisha maneno machafu aliyoongea babalevo???
Mtu hawezi kuhadithia anavyofanya mapenzi na hisia anazopata kwenye media tena live bila hata kutumia tafsida akaachwa eti sababu wengine pia wanafanya makosa