zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Baba Levo inabidi ndani ya hii wiki moja ajifunze journalism ethics na akaanze kozi ya uandishi[emoji23]Kwakweli..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba Levo inabidi ndani ya hii wiki moja ajifunze journalism ethics na akaanze kozi ya uandishi[emoji23]Kwakweli..
Kuielewa Ni mpaka uwe umeelimikaSentence hii ilibeba maono makubwa mno
Kwann wanaifungia chanell ya ccm Hali wapo kaziniDuh!!!!!!
Ma nini.. bora TCRA waonyeshe wapo macho..
Aende Bana Huyu Keshaishiwa Sera"leo mtakaa pembeni na kutuacha tuteseke peke yetu mkiamini kuwa hayawahusu ila wakimalizana na sisi watawageukia na nyie" By Tundu Lissu
Watu hawajafuatilia kinachoendelea wanabakia kuwalaumu tcraKama ndio hivi wafungiwe tu.
Mi najiuliza kwanini wafungiwe baada ya kufungiwa clauds Hali yakuwa wasafi ndio walioanza kutenda kosa?Ila niliitazama kile kipindi kiukweli TCRA wanakahaki ya kufungia stesheni. Yaani kipindi kimekosa maudhui hadi basi.....
Baba levo aliulizwa swali kuwa kati ya mwanamke mnene mwenye shepu na wembamba ni yupi anapendelea....
Baba levo akajibu yeye wanawake wanene/mabonge asichowapendea ni wanachoka haraka kitandani halafu wanakuharakisha na wewe ukojoe haraka haraka, so yeye huwa anachofanya anawakojolea mkojo wa kawaida na sio bao lile bao la utamu.....
Katika hali ya kawaida mazungumzo ya namna hii hayana hadhi ya kurushwa hewani as if ni jambo la kawaida na wakati ni kinyume na maadili yetu ya kitanzania na kiafrika lakini mbaya zaidi inachochea maswala ya ngono.
Ila niliitazama kile kipindi kiukweli TCRA wanakahaki ya kufungia stesheni. Yaani kipindi kimekosa maudhui hadi basi.....
Baba levo aliulizwa swali kuwa kati ya mwanamke mnene mwenye shepu na wembamba ni yupi anapendelea....
Baba levo akajibu yeye wanawake wanene/mabonge asichowapendea ni wanachoka haraka kitandani halafu wanakuharakisha na wewe ukojoe haraka haraka, so yeye huwa anachofanya anawakojolea mkojo wa kawaida na sio bao lile bao la utamu.....
Katika hali ya kawaida mazungumzo ya namna hii hayana hadhi ya kurushwa hewani as if ni jambo la kawaida na wakati ni kinyume na maadili yetu ya kitanzania na kiafrika lakini mbaya zaidi inachochea maswala ya ngono.
Baba levo. Sasa ulitaka wafungiwe nani?!Hayo matusi imetoa media au baba levo akiwa anahojiwa na hiyo media?
Umeona na kusikiliza kipindi kilichosababisha media kufungwa au umeamua tu kuchangia kwa kutumia hisia?!Office nyingi zimekamatwa na watu wa Mikowani, Maneno ya ki DSM wanayaona Kama matusi kumbe ndiyo lugha ya kitaa hiyo!!
Safi Sana TcRA na nyimbo zao za matusi matusi za Yako na Yangu Zikigusana Nalegee Fungia. Na Baby Come into my Bedroom I Wana show you Love Fungia. I wish TcRA mngekuwa Baraza la Sanaa haya mamusic ya Ngono mngeshafungia na kufuata mitandaoni. TcRA keep it up hawa watanngaza Ngono hadharani Wakome.Ila niliitazama kile kipindi kiukweli TCRA wanakahaki ya kufungia stesheni. Yaani kipindi kimekosa maudhui hadi basi.....
Baba levo aliulizwa swali kuwa kati ya mwanamke mnene mwenye shepu na wembamba ni yupi anapendelea....
Baba levo akajibu yeye wanawake wanene/mabonge asichowapendea ni wanachoka haraka kitandani halafu wanakuharakisha na wewe ukojoe haraka haraka, so yeye huwa anachofanya anawakojolea mkojo wa kawaida na sio bao lile bao la utamu.....
Katika hali ya kawaida mazungumzo ya namna hii hayana hadhi ya kurushwa hewani as if ni jambo la kawaida na wakati ni kinyume na maadili yetu ya kitanzania na kiafrika lakini mbaya zaidi inachochea maswala ya ngono.
Wametumia lugha isiyofaa kimaadili(lugha ya matusi)Kamanda mbona kichwa maji hivyo? Umejua wamekiuka sheria gani na wamekosea nini?
Hapana tutaweka sheria ya kuwajibisha wakosaji na sio sheria za kukomoana kama tupo North Korea.Kwa hiyo chadema mkichukua nchi mtawaacha watu wafanye watakavyo? Mtawaacha wavunje kanuni? Hahahaha
Sure....Ila niliitazama kile kipindi kiukweli TCRA wanakahaki ya kufungia stesheni. Yaani kipindi kimekosa maudhui hadi basi.....
Baba levo aliulizwa swali kuwa kati ya mwanamke mnene mwenye shepu na wembamba ni yupi anapendelea....
Baba levo akajibu yeye wanawake wanene/mabonge asichowapendea ni wanachoka haraka kitandani halafu wanakuharakisha na wewe ukojoe haraka haraka, so yeye huwa anachofanya anawakojolea mkojo wa kawaida na sio bao lile bao la utamu.....
Katika hali ya kawaida mazungumzo ya namna hii hayana hadhi ya kurushwa hewani as if ni jambo la kawaida na wakati ni kinyume na maadili yetu ya kitanzania na kiafrika lakini mbaya zaidi inachochea maswala ya ngono.
Mkuu Sasa Hapo Wamekomolewa Nini?!!!Hapana tutaweka sheria ya kuwajibisha wakosaji na sio sheria za kukomoana kama tupo North Korea.