TCRA yawafungia Wasafi FM kwa kutumia lugha za matusi

TCRA yawafungia Wasafi FM kwa kutumia lugha za matusi

Ila niliitazama kile kipindi kiukweli TCRA wanakahaki ya kufungia stesheni. Yaani kipindi kimekosa maudhui hadi basi.....

Baba levo aliulizwa swali kuwa kati ya mwanamke mnene mwenye shepu na wembamba ni yupi anapendelea....

Baba levo akajibu yeye wanawake wanene/mabonge asichowapendea ni wanachoka haraka kitandani halafu wanakuharakisha na wewe ukojoe haraka haraka, so yeye huwa anachofanya anawakojolea mkojo wa kawaida na sio bao lile bao la utamu.....




Katika hali ya kawaida mazungumzo ya namna hii hayana hadhi ya kurushwa hewani as if ni jambo la kawaida na wakati ni kinyume na maadili yetu ya kitanzania na kiafrika lakini mbaya zaidi inachochea maswala ya ngono.
Mi najiuliza kwanini wafungiwe baada ya kufungiwa clauds Hali yakuwa wasafi ndio walioanza kutenda kosa?
 
Ila niliitazama kile kipindi kiukweli TCRA wanakahaki ya kufungia stesheni. Yaani kipindi kimekosa maudhui hadi basi.....

Baba levo aliulizwa swali kuwa kati ya mwanamke mnene mwenye shepu na wembamba ni yupi anapendelea....

Baba levo akajibu yeye wanawake wanene/mabonge asichowapendea ni wanachoka haraka kitandani halafu wanakuharakisha na wewe ukojoe haraka haraka, so yeye huwa anachofanya anawakojolea mkojo wa kawaida na sio bao lile bao la utamu.....




Katika hali ya kawaida mazungumzo ya namna hii hayana hadhi ya kurushwa hewani as if ni jambo la kawaida na wakati ni kinyume na maadili yetu ya kitanzania na kiafrika lakini mbaya zaidi inachochea maswala ya ngono.

..mbona Jpm anatukana waziwazi lakini hakuna hatua zinazochukuliwa?

..Baba Levo angekuwa amewatukana wapinzani asingechukuliwa hatua.
 
Ila niliitazama kile kipindi kiukweli TCRA wanakahaki ya kufungia stesheni. Yaani kipindi kimekosa maudhui hadi basi.....

Baba levo aliulizwa swali kuwa kati ya mwanamke mnene mwenye shepu na wembamba ni yupi anapendelea....

Baba levo akajibu yeye wanawake wanene/mabonge asichowapendea ni wanachoka haraka kitandani halafu wanakuharakisha na wewe ukojoe haraka haraka, so yeye huwa anachofanya anawakojolea mkojo wa kawaida na sio bao lile bao la utamu.....




Katika hali ya kawaida mazungumzo ya namna hii hayana hadhi ya kurushwa hewani as if ni jambo la kawaida na wakati ni kinyume na maadili yetu ya kitanzania na kiafrika lakini mbaya zaidi inachochea maswala ya ngono.
Safi Sana TcRA na nyimbo zao za matusi matusi za Yako na Yangu Zikigusana Nalegee Fungia. Na Baby Come into my Bedroom I Wana show you Love Fungia. I wish TcRA mngekuwa Baraza la Sanaa haya mamusic ya Ngono mngeshafungia na kufuata mitandaoni. TcRA keep it up hawa watanngaza Ngono hadharani Wakome.
 
Kamanda mbona kichwa maji hivyo? Umejua wamekiuka sheria gani na wamekosea nini?
Wametumia lugha isiyofaa kimaadili(lugha ya matusi)

Je unajua hasara ya kufunga kituo cha habari kwa siku 7 na matangazo ya biashara ya wadhamini kutoenda hewani kwa siku hizo?

Mimi naamini walipaswa kupigwa fine kubwa tu ya maana ila sio kufunga kituo cha radio kurusha matangazo.

Wakati hizi sheria mpya kandamizi zilivyokua zinapitishwa na maCCM walichekelea wakadhani zitaishia kufungia Tanzania daima.
 
Hivi hawa tcra hawana adhabu ya onyo kwanza mbona wanakimbilia kutia watu hasara bila ulazima? Hivi Nchi zingine ndo vyombo vya habari hufanyiwa hivi au ni sisi tu? Nmeamini kumbe hata kuunga mkono juhidi hakusaidii.
 
Ila niliitazama kile kipindi kiukweli TCRA wanakahaki ya kufungia stesheni. Yaani kipindi kimekosa maudhui hadi basi.....

Baba levo aliulizwa swali kuwa kati ya mwanamke mnene mwenye shepu na wembamba ni yupi anapendelea....

Baba levo akajibu yeye wanawake wanene/mabonge asichowapendea ni wanachoka haraka kitandani halafu wanakuharakisha na wewe ukojoe haraka haraka, so yeye huwa anachofanya anawakojolea mkojo wa kawaida na sio bao lile bao la utamu.....




Katika hali ya kawaida mazungumzo ya namna hii hayana hadhi ya kurushwa hewani as if ni jambo la kawaida na wakati ni kinyume na maadili yetu ya kitanzania na kiafrika lakini mbaya zaidi inachochea maswala ya ngono.
Sure....
👏👏👏👏
 
Tatizo Mnaliangalia Kwa Jicho Tofauti...

Watu Wametukana HADHARANI waachwe?!!!

Bila ya KUSIMAMIA MAADILI,WELEDI NA TAALUMA ya habari tutafika Kweli?!!!

TCRA Wamefanya JAMBO SAHIHI!!!
 
Hapana tutaweka sheria ya kuwajibisha wakosaji na sio sheria za kukomoana kama tupo North Korea.
Mkuu Sasa Hapo Wamekomolewa Nini?!!!

Nina hofu na Serikali Yenu.... Kwani Siku Mkiingia Madarakani, Basi kila mtu atafanya atakalo na kuwa zaidi ya RUKSA ya Mzee Wetu Ali Hassan Mwinyi...
 
Back
Top Bottom