Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila huyu anauboresha eh!? Msalimie D
SanaSentence hii ilibeba maono makubwa mno
Ukweli haudanganyi"leo mtakaa pembeni na kutuacha tuteseke peke yetu mkiamini kuwa hayawahusu ila wakimalizana na sisi watawageukia na nyie" By Tundu Lissu
Radio one huwezi kukuta upuuzi wa namna iyoHapo ndo kuna tatitizo mkuu, hata mimi nimekuwa nikijiuliza, ukijua kuongea ongea ndo unakuwa mtangazaji bora,? lakini hii qualification naiona inatumiwa na media za mwendo kasi tu, nimefuatilia kwenye media makini hazijaajili watu wa namna hiyo!
Kwa huyu content ilikua inaeleweka ila watu waliamua kutafsiri walivyotaka wao..... kama JK alivyosemaga ukitaka kula lazima uliwe watu wakashangilia hahahaaa
Baba levo anaongea jinsi ya kukojolea wanawake wanene kha.....mambo gani hayo
Kwani huko majukwani kna nidhamuKukata mauno hakuzuii kuchukuliwa sheria iwapo atatenda kosa
Heshma, maadili na Nidhamu lazima vidumishwe
Siku hizi hakuna maadiliHaramu haiwezi kuwa halali, vijana wazingatie maadili
[emoji3]Hahah wenyewe wanakwambia Magu mitanoooooo tena.
Sentensi yenye ujumbe mzito sana."leo mtakaa pembeni na kutuacha tuteseke peke yetu mkiamini kuwa hayawahusu ila wakimalizana na sisi watawageukia na nyie" By Tundu Lissu
"leo mtakaa pembeni na kutuacha tuteseke peke yetu mkiamini kuwa hayawahusu ila wakimalizana na sisi watawageukia na nyie" By Tundu Lissu
Km ndo hivi bora wamefungiwaIla niliitazama kile kipindi kiukweli TCRA wanakahaki ya kufungia stesheni. Yaani kipindi kimekosa maudhui hadi basi.....
Baba levo aliulizwa swali kuwa kati ya mwanamke mnene mwenye shepu na wembamba ni yupi anapendelea....
Baba levo akajibu yeye wanawake wembamba asichowapendea ni wanachoka haraka kitandani halafu wanakuharakisha na wewe ukojoe haraka haraka, so yeye huwa anachofanya anawakojolea mkojo wa kawaida na sio bao lile la utamu.....
Katika hali ya kawaida mazungumzo ya namna hii hayana hadhi ya kurushwa hewani as if ni jambo la kawaida na wakati ni kinyume na maadili yetu ya kitanzania na kiafrika lakini mbaya zaidi inachochea maswala ya ngono.
Mlidhani hizi sheria kandaminzi za CCM zitaishia kuwaumiza wapinzani pekee??
Bongo wanapojifanya wanajua sana unaongea Sana hadi unaongea pumba[emoji23]Wajifunze sasa
Kwakweli..Bongo wanapojifanya wanajua sana unaongea Sana hadi unaongea pumba[emoji23]