Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Siamini kama ni babalevo hapo, kuna kitu nyuma ya pazia..Shida ya baba levo mdomo wake hauna break
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siamini kama ni babalevo hapo, kuna kitu nyuma ya pazia..Shida ya baba levo mdomo wake hauna break
Walijua anatania."leo mtakaa pembeni na kutuacha tuteseke peke yetu mkiamini kuwa hayawahusu ila wakimalizana na sisi watawageukia na nyie" By Tundu Lissu
TCRA YAKIFUNGIA KITUO CHA WASAFI FM KWA SIKU 7TCRA imekifungia kituo cha utangazaji cha Wasafi Fm baada ya watangazaji wake na mgeni wao baba Levo kutumia lugha za matusi na zinazoudhi mbele ya jamii.
Mfano neno " msambwanda" linakarahisha
Kituo cha Wasafi hakitakuwa hewani kwa muda wa siku 7 kwa mujibu wa adhabu waliyopewa.
Maendeleo hayana vyama!
Hiyo inaitwa MujarraabuYes kama Mwanyika aliyehukumiwa kwa kesi ya uhujumu uchumi ila leo ni mgombea ubunge wa CCM huko Njombe 🤣
Umeyasikiliza hayo maudhui?Tatizo sio maudhui tatizo ni diwani wa ujiji baba levoo
Kama ni hivyo tcra wapo sawa, tena hiyo adhabu ya wiki 1 ni ndogo sana, shwain zao.Ila niliitazama kile kipindi kiukweli TCRA wanakahaki ya kufungia stesheni. Yaani kipindi kimekosa maudhui hadi basi.....
Baba levo aliulizwa swali kuwa kati ya mwanamke mnene mwenye shepu na wembamba ni yupi anapendelea....
Baba levo akajibu yeye wanawake wembamba asichowapendea ni wanachoka haraka kitandani halafu wanakuharakisha na wewe ukojoe haraka haraka, so yeye huwa anachofanya anawakojolea mkojo wa kawaida na sio bao lile la utamu.....
Katika hali ya kawaida mazungumzo ya namna hii hayana hadhi ya kurushwa hewani as if ni jambo la kawaida na wakati ni kinyume na maadili yetu ya kitanzania na kiafrika lakini mbaya zaidi inachochea maswala ya ngono.
Wanazuga tu ili ionekane kuna haki....laanaturahiTCRA imekifungia kituo cha utangazaji cha Wasafi Fm baada ya watangazaji wake na mgeni wao baba Levo kutumia lugha za matusi na zinazoudhi mbele ya jamii.
Mfano neno " msambwanda" linakarahisha
Kituo cha Wasafi hakitakuwa hewani kwa muda wa siku 7 kwa mujibu wa adhabu waliyopewa.
Maendeleo hayana vyama!
Mwendo wa kabali.View attachment 1566500
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesitisha utoaji huduma za utangazaji kwa Wasafi FM kwa muda wa siku saba kuanzia Septemba 12 hadi Septemba 18 mwaka huu.
Uamuzi huo umetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Mhandisi James Kilaba jijini Dar es Salaam ambapo amesema hatua hiyo ni kutokana na kituo hicho kukiuka kanuni namba 11 ya Kanuni za Mawasiliano ya kielektroniki na Posta ya mwaka 2018.
Mhandisi Kilaba amesema kuwa ukiukwaji huo wa kanuni ulifanyika katika vipindi vya The Switch na Mashamsham.
Aidha, ametoa rai kwa vyombo vya habari kuzingatia kanuni za utangazaji wa maudhui yenye lugha ya staha kwa Watanzania huku akiitaka Wasafi FM kuomba radhi kwa umma wa Watanzania.
tafuta clip ya bagamoyo ya Lisu, he was referring siku aliyopigwa risasi yeye. Yeye amesema September 7September Seven? Sio September Eleven(9/11)
Vijana wa ACT wazalendo hao!
duh kweli shetan hanaga rafikiCCM oyeee.View attachment 1566479
Kuna maneno fulanifulani ya Kisukuma ni matusi ya nguoni kwa lugha yetu kwa hiyo Rais wetu mpendwa anapohutubia kilugha tukiwepo au kwenye vyombo vya Habari tunadhalilika sana na kumwona hana maadili. TCRA waangalie hili.Kwa hili TCRA wanastahili pongezi,kumekuwa na lugha za kuudhi zisizo na staha ambazo zinatolewa baadhi ya watangazaji.Napendekeza adhabu iwe kubwa zaidi,swala la maadili lazima kuwa wakali zaidi.
Jose tafuta mabilioni na wewe ufungue chako!Ila kweli hapa wamezingua, Serious
WCB Mnaleta waongeaji ongeaji tu wasiofuata weledi wa kazi
Mnaambiwa muajiri watangazaji wasomi nyie mnasemaa oooh haina haja
Huyu baba levo kazingua big time, anafikiri studio hapo wanapiga soga kama za vijiweni...kuna maneno yanatakiwa yasiende On Air, wayaongee Off mic
Baba Levo nae anaropokaga ropokaga hovyo tu
Katuponza wasikilizaji wa vipindi vya michezo #SportsArena na #SportsCourt
[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Mondi na Dabiliyusibii wajitafakari hiii aina ya watangazaji wanaowaleta.. Sio kila mzungumzaji au anayeongea ongea tu na kwa kuwa ni maarufu basi ana kipaji cha kutangaza...Mambo ya kufosi vipaji tuyaacheni twendeni kwenye Weledi wa kazi...
Uandishi wa habari na utangazaji una ethics zake