Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndo kuna tatitizo mkuu, hata mimi nimekuwa nikijiuliza, ukijua kuongea ongea ndo unakuwa mtangazaji bora,? lakini hii qualification naiona inatumiwa na media za mwendo kasi tu, nimefuatilia kwenye media makini hazijaajili watu wa namna hiyo!Media za Bongo imekuwa fasheni kuajiri lopolopo eti ndo watangazaji!
Shame!
serikali huwa ina watu wake inapotaka jambo lake,hata wewe tunaweza kukutumia kupata tunachotaka licha ya uchadema wako
ukiingia ndani utaona kabisa kwamba huyo alikuwa wetu kule acacia
Hapo ndo kuna tatitizo mkuu, hata mimi nimekuwa nikijiuliza, ukijua kuongea ongea ndo unakuwa mtangazaji bora,? lakini hii qualification naiona inatumiwa na media za mwendo kasi tu, nimefuatilia kwenye media makini hazijaajili watu wa namna hiyo!
Media makini kwa Bongo ni zipi, hebu tusaidie!
Nimeisikiliza kaongea uchafu sana, sijui sheria inasemaje kuhusu kuongeza na faini maana.....ni sahihi kuwafungia hao, maneno aliyoongea baba levo yanadhalilisha wanawake
Msambwanda Kwan tusiNyie akina nani bwashee?
September Seven? Sio September Eleven(9/11)Kila mmoja ana September Seven (9/7) yake by Tundu Lisu!
Hahahaaaa.......!Msambwanda Kwan tusi
Hao Hao wenyewe wakiona misambwanda wanapagawa
Ova
Haikuishia kwenye neno misambwada, ameongea maneno mengi ya kudhalilisha kacheck videoMsambwanda Kwan tusi
Hao Hao wenyewe wakiona misambwanda wanapagawa
Ova
Si nmewaona dodoma vigogo kibao wanavizia misambwandaHahahaaaa.......!
ohh masikini mataga.serikali huwa ina watu wake inapotaka jambo lake,hata wewe tunaweza kukutumia kupata tunachotaka licha ya uchadema wako
ukiingia ndani utaona kabisa kwamba huyo alikuwa wetu kule acacia
AiseeIla niliitazama kile kipindi kiukweli TCRA wanakahaki ya kufungia stesheni. Yaani kipindi kimekosa maudhui hadi basi.....
Baba levo aliulizwa swali kuwa kati ya mwanamke mnene mwenye shepu na wembamba ni yupi anapendelea....
Baba levo akajibu yeye wanawake wembamba asichowapendea ni wanachoka haraka kitandani halafu wanakuharakisha na wewe ukojoe haraka haraka, so yeye huwa anachofanya anawakojolea mkojo wa kawaida na sio bao lile la utamu.....
Katika hali ya kawaida mazungumzo ya namna hii hayana hadhi ya kurushwa hewani as if ni jambo la kawaida na wakati ni kinyume na maadili yetu ya kitanzania na kiafrika lakini mbaya zaidi inachochea maswala ya ngono.
tatizo wabongo siasa imezuia uwezo wao wa kupambanua jema na bayaKukata mauno hakuzuii kuchukuliwa sheria iwapo atatenda kosa
Heshma, maadili na Nidhamu lazima vidumishwe