TCRA yawafungia Wasafi FM kwa kutumia lugha za matusi

TCRA yawafungia Wasafi FM kwa kutumia lugha za matusi

Hayo matusi imetoa media au baba levo akiwa anahojiwa na hiyo media?
 
Duh Hahahaha
Dozi wanapewa zam kwa zam

Ova
 
Ila niliitazama kile kipindi kiukweli TCRA wanakahaki ya kufungia stesheni. Yaani kipindi kimekosa maudhui hadi basi.....

Baba levo aliulizwa swali kuwa kati ya mwanamke mnene mwenye shepu na wembamba ni yupi anapendelea....

Baba levo akajibu yeye wanawake wembamba asichowapendea ni wanachoka haraka kitandani halafu wanakuharakisha na wewe ukojoe haraka haraka, so yeye huwa anachofanya anawakojolea mkojo wa kawaida na sio bao lile la utamu.....




Katika hali ya kawaida mazungumzo ya namna hii hayana hadhi ya kurushwa hewani as if ni jambo la kawaida na wakati ni kinyume na maadili yetu ya kitanzania na kiafrika lakini mbaya zaidi inachochea maswala ya ngono.
Duh! Hii kiboko!!
 
TCRA imesitisha leseni ya utangazaji ya Wasafi FM kwa siku 7 kuanzia leo Septemba 11, 2020 na kutakiwa kuomba radhi kwa kukiuka Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta za mwaka 2018. TCRA imesema kituo hicho kilikiuka kanuni kupitia vipindi vya The Switch na Mashamsham.
20200911_162544.jpg
 
Ila niliitazama kile kipindi kiukweli TCRA wanakahaki ya kufungia stesheni. Yaani kipindi kimekosa maudhui hadi basi.....

Baba levo aliulizwa swali kuwa kati ya mwanamke mnene mwenye shepu na wembamba ni yupi anapendelea....

Baba levo akajibu yeye wanawake wembamba asichowapendea ni wanachoka haraka kitandani halafu wanakuharakisha na wewe ukojoe haraka haraka, so yeye huwa anachofanya anawakojolea mkojo wa kawaida na sio bao lile la utamu.....




Katika hali ya kawaida mazungumzo ya namna hii hayana hadhi ya kurushwa hewani as if ni jambo la kawaida na wakati ni kinyume na maadili yetu ya kitanzania na kiafrika lakini mbaya zaidi inachochea maswala ya ngono.
Sasa wao nao kuokoteza kila Mtu tu akae kwenye chombo cha habari walitegemea nini?.
 
Kuna yule anajiita juma lokole sijui kasomea wapi utangazaji maana ushubwada anaouongea hewani lazma wafungiwe tu.
 
Yes kama Mwanyika aliyehukumiwa kwa kesi ya uhujumu uchumi ila leo ni mgombea ubunge wa CCM huko Njombe 🤣
serikali huwa ina watu wake inapotaka jambo lake,hata wewe tunaweza kukutumia kupata tunachotaka licha ya uchadema wako
ukiingia ndani utaona kabisa kwamba huyo alikuwa wetu kule acacia
 
Back
Top Bottom