Alfred
JF-Expert Member
- Apr 13, 2008
- 2,093
- 2,843
Jamani Mimi ni form six leaver nliepata BCC Kwa PCM Nikaomba vyuo katika order hii
Civil eng-udsm
Electrical eng-udsm
Pharmacy-mumbl
Ofcoz sikuchaguliwa ila nnachoshangaa ni machali zangu wenye two ambao wameomba kwa mtiririko kama wangu wamepataa ila mm nimekosaaa.....apoo ndipo ninapoilaumu hii taasisi ya udahili wa vyuo vikuu kwamba haitendi hakii.....
Naomben nishaurini kwa huu mtindo mwingine nlioomba ntapataa...??
Telecoms eng-udsm
Comp eng-udsm
Comp eng -Dit
Ahsantenii saanaa wadau ....am stressed....!!!!
Civil eng-udsm
Electrical eng-udsm
Pharmacy-mumbl
Ofcoz sikuchaguliwa ila nnachoshangaa ni machali zangu wenye two ambao wameomba kwa mtiririko kama wangu wamepataa ila mm nimekosaaa.....apoo ndipo ninapoilaumu hii taasisi ya udahili wa vyuo vikuu kwamba haitendi hakii.....
Naomben nishaurini kwa huu mtindo mwingine nlioomba ntapataa...??
Telecoms eng-udsm
Comp eng-udsm
Comp eng -Dit
Ahsantenii saanaa wadau ....am stressed....!!!!