Billy Graham
Member
- Oct 27, 2019
- 11
- 24
Wakifika 3.2 unaijulishe
Hiyo kwa Vyuo vya kata mbona kawaida 3.5 kitamboo. Pale UD, MUHAS na SUA mziki bado 3.8Sawa nzuri hiyo
😂na mimi wakifika 2.0 nijulishe
Hiyo kwa Vyuo vya kata mbona kawaida 3.5 kitamboo. Pale UD, MUHAS na SUA mziki bado 3.8
Hii guideline inaanza kutumika mwaka huuHiyo kwa Vyuo vya kata mbona kawaida 3.5 kitamboo. Pale UD, MUHAS na SUA mziki bado 3.8
Hahaha😂😂😂chezea GPAWakifika 3.2 unaijulishe
Guideline sio Sheria mkuu. Vyuo havifungwi kutumia. Bado GPA ya Muslim University of Morogoro si sawa na SUA. Usijifariji peleka mtoto vyuo vinavyojitambuaHii guideline inaanza kutumika mwaka huu
Hata hivi vyuo wataanza kutumia hizo guidelines
Wanafata keki ya nchiWalimu wote wanaokimbilia siasa halafu unalalamika uhaba wa malecture
Kwani hivyo vya kata scale ya mshahara iko chini kuliko hivi ulivyotaja?? Scale ile ileHiyo kwa Vyuo vya kata mbona kawaida 3.5 kitamboo. Pale UD, MUHAS na SUA mziki bado 3.8
Hata hivyo kuna watu wana 3.6, 3.7 undergraduate na wameajiriwa kwenye hivyo vyuo vyako connection inamatter pia☹️☹️Guideline sio Sheria mkuu. Vyuo havifungwi kutumia. Bado GPA ya Muslim University of Morogoro si sawa na SUA. Usijifariji peleka mtoto vyuo vinavyojitambua
Jamaa wa vyuo wanapiga mipunga sana hasa ukiwa na masters halafu kazi haikubani kama sector zingine huko.Kwani hivyo vya kata scale ya mshahara iko chini kuliko hivi ulivyotaja?? Scale ile ile
Popote kambi mzee