JaphetJacob
Senior Member
- Dec 11, 2015
- 106
- 121
Zamani walikua wanachukua watu waliosoma BED na post inatoka TAMISENI sasa kwa sasa sijuiThe hitman ,jooohs ,wakuu naitaji kujua diploma pia wanaangalia iyo 3.5 au VIP, wakati wa kuajiri secta binafsi na serikalini
Ila vp kwa ao Taylor wa bank si diploma ao...au ni degree holder.wana qualification GPA ngap...Kwanza sionagi matangazo yao
wacha kelele sana mkuu onyesha hiyo 5.0 yako ya hapooo mlimani sio unaongea sanaaaaSasa kufundisha DMI ndo unaita chuo Kikuu...Prof wa DMI!!! Ha ha ha ha.
🤣🤣🤣🤣 hivi kwanza nabishana na wewe una GPA ya ngapi?Chuo Pekee kinakubali hiyo qualifications yako ni hicho hicho DMI au ZOOM kule SUA na UDSM wata-equate hiyo Unayoita Degree sawa Na Ordinary Diploma.
Yani nikiona mshahara wa PhD holder ni huu nachoka kabisa inakatisha tamaa
Hajapoteza chochote kwanza anasomeshwa bure na wengi wanatafutiwa Scholarships’s huko duniani anaongeza exposure yeye mwenyewe kimaishani kweli inasikitisha sana ukilinganisha na miaka aliyopoteza,wakati kuna watu hawajasoma hata masters wanapata zaidi ya hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
shipping agency hahaah we unamasiharaShipping Agency ama?
Sindio mkuu 🤣🤣🤣 sema inanisaidia kitaa hata nikiuza vitumbua nauza kwa Principle za Kotler
kwahiyo huwa zinawekwaje mkuu?Hiyo miaka mingine unamuachia Nani?
Siyo madogo hata ww ni victim mkuu be open.Vipi GPA kwa mtu anaye taka kusoma Degree Bado 3.0 au wame legeza nako???kwani kuna madogo wame maliza Diploma wana shindwa kwenda kusoma Degree.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wakati wenzako wanasoma wewe ulikua unacheza gemu, kaa tulia dawa ikuingie.Ila bado TCU hawajafanya vile inavyotakiwa ,kuajiriwa kwa kuangalia GPA ni tatizo zaidi ya corona..jaribu kuangalia maprofesa wetu huwezi amini kama Ni kweli ama wamesingiziwa uprofesa ..wote wamekimbilia siasa
GPA kubwa haitoshi kutambua uwezo wa mtu ,mfano mzuri na kaka Yangu Mwigulu nchemba aliyekwaa first class kwenye masuala ya uchumi..amebaki kusifia serikali ya awamu ya tano badala ya kuleta mbinu mbadala ya mapinduzi ya kiuchumi
Sent using Jamii Forums mobile app
Guideline sio Sheria mkuu. Vyuo havifungwi kutumia. Bado GPA ya Muslim University of Morogoro si sawa na SUA. Usijifariji peleka mtoto vyuo vinavyojitambua
Kwa hiyo motives yake ni self preservation ndo maana tuna project nyingi lakin hatupigi hatua so sadUkiwa mtamu kwenye kuandaa Projects ndio kabisa! Wewe unakuwa hazina kwa chuo na mipunga ni ya chap!
Kuna Doc mmoja ananiambiaga akitaka kuagiza gari anaadaa paper zake kadhaa tu. Akikamilisha tu mipunga ni chap.
DMI Ni Chuo Cha Kati SI chuo kikuu GPA za kuokota Kama cbewacha kelele sana mkuu onyesha hiyo 5.0 yako ya hapooo mlimani sio unaongea sanaaaa
Hahahaaa umeongea point ila vp una shida gani na wenye first class?Ila bado TCU hawajafanya vile inavyotakiwa ,kuajiriwa kwa kuangalia GPA ni tatizo zaidi ya corona..jaribu kuangalia maprofesa wetu huwezi amini kama Ni kweli ama wamesingiziwa uprofesa ..wote wamekimbilia siasa
GPA kubwa haitoshi kutambua uwezo wa mtu ,mfano mzuri na kaka Yangu Mwigulu nchemba aliyekwaa first class kwenye masuala ya uchumi..amebaki kusifia serikali ya awamu ya tano badala ya kuleta mbinu mbadala ya mapinduzi ya kiuchumi
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaakili za kufaulu mtihan ambazo huku mtaan hazitamsaidiaAna akili sana tu,sema anajitoa ufahamu ili kutetea ugali wake. Unataka akatwe jina 2020?
Dah mkuu umenikumbusha mbali sana. Namkubali sana Kotler. Blue print.Sindio mkuu 🤣🤣🤣 sema inanisaidia kitaa hata nikiuza vitumbua nauza kwa Principle za Kotler