Tetesi: TCU imebadili vigezo vya kufundisha Chuo Kikuu

Tetesi: TCU imebadili vigezo vya kufundisha Chuo Kikuu

Kupoteza amepoteza maana resources amezitumua ,Kama muda aliotumia , opportunity cost , ingawa amepata exposure na CV ameongeza
Hajapoteza chochote kwanza anasomeshwa bure na wengi wanatafutiwa Scholarships’s huko duniani anaongeza exposure yeye mwenyewe kimaisha

Wewe sema GPA ilipita kushoto 😂😂😂
 
Ndio kimbilio lenu kila siku.
Kila mnapotaka kuelezea kuwa mtu unaweza kutoboa bila kupiga sana shule na kuajiriwa wote mnakimbilia kumtolea mfano Diamond Platnumz.

Kuna wadau juzi waliuliza hapa bongo kuna akina Diamond wangapi?
Wacha wajidanganye, mafanikio hayaji kwa njia moja..eti mwalimu wa chuo kikuu ana njaa na hawez jenga..mtu analipwa 3m eti hela ndogo wakati mwalimu wa sekondari anajenga! Jamaa wanapata hela nzr, ila kila mtu ana matumizi yake binafsi. Nafundsha chuo cha private ambapo salary si kubwa kama vyuo vya serikali, lakini still nimefanya mambo yangu yoote ya msingi na sina njaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
DMI Ni Chuo Cha Kati SI chuo kikuu GPA za kuokota Kama cbe
Tunachoangalia kumbe hata hicho chuo cha kati kinauwezo wa kutoa degree? Ambayo haipatikani chuo chochote kile Tanzania.halafu muache ulimbukeni wa kuangalia majina ya vyuo angalie hao wanaotoka hapo wana impact gani kwa taifa,kingine nitajie chuo kingine tanzania kinachotoa kozi ya Bachelor degree in marine engineering.
Kikubwa ni kuwa tu na passion na kitu kwa mfano ningeamua kwenda kusoma chuo kingine ingenibidi niende nje sasa , means nichukue scholarship,maamuzi hayo skuyataka ,japo ni mazuri.
Anyway yangu ni hayo, nina 5.0 na nina uwezo wa ku apply chuo chochote nje ,na hata ndani ya mchi kama nikitaka kujiendeleza kwenye other engineering field.
Bali siwezi brag kwa sababu ya GPA huo ni utoto kikubwa angalia nina ujuzi gani na je?huo ujuzi una impact gani kwa Taifa.
Na kingine
Nimekuomba uweke GPA yako ya lower second hapa hautaki kuweka .
 
Wacha wajidanganye, mafanikio hayaji kwa njia moja..eti mwalimu wa chuo kikuu ana njaa na hawez jenga..mtu analipwa 3m eti hela ndogo wakati mwalimu wa sekondari anajenga! Jamaa wanapata hela nzr, ila kila mtu ana matumizi yake binafsi. Nafundsha chuo cha private ambapo salary si kubwa kama vyuo vya serikali, lakini still nimefanya mambo yangu yoote ya msingi na sina njaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi watanzania wengi wetu tuna mawazo negative yaani mtu anaongea kitu ili ajifariji na kukuweka wewe kundi moja na wao
always !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona.kila kitu ni connection wakuu..hapa napo inabidi..wa recruit watu wanye ..akili za practical cio kuangalia ukubwa wa GPA..kwenye karatasi..[emoji16][emoji16][emoji16]
Nawasilisha hoja...
Umesahau kwamba katika hizo module alizopata A kuna practical pia,hivi hizo akili huwa mnatolea wapi? Kwamba mtu akipata GPA kubwa yupo good theory na sio practical?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini hii mishahara mboba sio mikubwa kivile ukilinganisha na Private maana serikali hawabadili scale yako ya mshahara haraka haraka maana katika kuhangaika niliwahi fanya interview ILO mshahara ulikua 7m na hakuna kukatwa kodi walikua wanataka 2 years experience na Bachelor tu..sema sikuwahi kuipata

Mkuu naomba niende nje ya mada kidogo na naomba tujadili hizi ajira za jumuia za kimataifa... Huwa zinatolewa kwa mfumo upi ? What is their (international institutions or agencies) recruitment behavior ?
Ili kutunza muktadha wa huu uzi, niko tayari kuja PM tujadili hili au vinginevyo mwaga maarifa hapa hapa ili wengi wanufaike...
 
Mkuu naomba niende nje ya mada kidogo na naomba tujadili hizi ajira za jumuia za kimataifa... Huwa zinatolewa kwa mfumo upi ? What is their (international institutions or agencies) recruitment behavior ?
Ili kutunza muktadha wa huu uzi, niko tayari kuja PM tujadili hili au vinginevyo mwaga maarifa hapa hapa ili wengi wanufaike...
Mkuu kama unapenda UN unaenda kwenye google unaitwa inspira ukigoogle tu itatokea utajiregister
Ila hizi jumuiya zingine mfano ILO mimi hua nafunguaga website zao wenyewe naangalia kama kuna kazi au la DFID, British High Commission, Canada High Commission wao mfumo wao unaitwa wfca ukigoogle tu inakuja yenyewe..kwa kifupi nilikua na hobby ya kutafuta kazi nilikuaga natumia tayoa, zoomtanzania na kazibongo.blogspot(sema hizi mbili zimekua chenga kutafuta kazi) kuna mashirika kama UNHCR yale maranyingi watu hua wananitumia job posts
 
Mkuu kama unapenda UN unaenda kwenye google unaitwa inspira ukigoogle tu itatokea utajiregister
Ila hizi jumuiya zingine mfano ILO mimi hua nafunguaga website zao wenyewe naangalia kama kuna kazi au la DFID, British High Commission, Canada High Commission wao mfumo wao unaitwa wfca ukigoogle tu inakuja yenyewe..kwa kifupi nilikua na hobby ya kutafuta kazi nilikuaga natumia tayoa, zoomtanzania na kazibongo.blogspot(sema hizi mbili zimekua chenga kutafuta kazi) kuna mashirika kama UNHCR yale maranyingi watu hua wananitumia job posts

Nashukuru mkuu... nina ndoto ya kufanya kazi huko hasa kwenye kada za kilimo na chakula (FAO, WFP), mazingira (UNEP) sayansi, uhifadhi na tafiti...
Wacha niwe napitapita kwenye websites zao kama ulivyoshauri...
Asante sana
 
Ni rahisi tu wakati nikiwa kwenye taasisi fulani vetting tuliyokuwa tukiwafanyia new recruits ilikuwa ni kufananisha matokeo yake ya O&A level vs ya chuo then tuna mregard au disregard....kama chuo una 4.0 na o level una III A level III wewe mojakwamoja wahega

Sent using Jamii Forums mobile app
Chuo ulichosoma kina-matter mno Mkuu,. Ulishawahi kukutana na Graduates wa UDOM, MUM na TUDAKOO?
 
Nashukuru mkuu... nina ndoto ya kufanya kazi huko hasa kwenye kada za kilimo na chakula (FAO, WFP), mazingira (UNEP) sayansi, uhifadhi na tafiti...
Wacha niwe napitapita kwenye websites zao kama ulivyoshauri...
Asante sana
Utabaki na ndoto ndugu
 
Back
Top Bottom