Akwota
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 791
- 633
[emoji23][emoji23]Na mimi wakifika 2.0 nijulishe
Sent from Nokia 7 Plus
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Na mimi wakifika 2.0 nijulishe
gpa za madesa
Nafundisha private chuo sikaji kama mhadhiri ila nalipwa mpunga zaidi wa huo aloweka mdau wa UDSMNitajie Chuo kimoja tu Private Bongo wanacholipa vizuri ukilinganisha na vya umma?
NN: Taja chuo kimoja tu Cha Private (wwlanusoyaje viwili).
***Na Zama hizi sadaka naxo zimekata tutashuhudia mengi.
Private Universities hizi zinazoshindwa kulipa mishahara mwezi April 2020.Nafundisha private chuo sikaji kama mhadhiri ila nalipwa mpunga zaidi wa huo aloweka mdau wa UDSM
Inawezekana sana private mshahara ni negotiations kama sio muelewa wa mambo watakupa scale pungufu
Kwa hiyo inadepend na private kupata cheo ni haraka, disadvantage ya private huwezi kukutana na teuzi na mkulu, pia kuna mambo huwezi jiamulia mfano matokeo ya vijana
Kuna marafiki zangu wako serikali mambo ni yale yale
Na ss wa sadaka maisha yanasonga
Show off tu. Ngonja kuimba kuishe ndo utajua alikuwa anamiliki nini na nini ?Hayo magari showoff tu. Mwambie aonyeshe Card za gari.
Mama hata secondary sijafika. Nimeishia la saba B.Open ndo unamaanisha nini?
Kuna vyuo hata hiyo lower second ni ya torch. Refer DUCE,MUCE,UDSM.
Vijana hawataki tabu.hayo ni madhara ya elimu ya Voda fasta, vijana mmekuw avilaza sana sikuhizi,.
mpo empty vibaya mnoo!
hakukupa sup kweli? dah... 😛 😛 😀 😀 😀Inakera sana kiukweli.
Wengi wa wasomi wa bongo ni wameza vitini na point za ubaoni, ila kuchanganua mambo kisomi au kama intellectual huwa uwezo upo chini sana.
Kuna kipindi nikiwa chuoni nikisomea taaluma yangu ya masomo na ujasiria mali, nilimchallenge mwalimu katika somo la marketing, alipokuwa anatufundisha kuhusu zile 4P's za marketing, alipotuuliza kwa kutupoint me nikamwambia zilizopopular ni 4 ila until recently zipo 12 P's darasa zima wakanicheka kicheko cha kunistaajabu kuwa sijui nasema nini sababu wao si walisoma diploma na cheti nimekutana nao degree....
Ticha nae kwa madharau akanipa marker pen niende ubaoni kutolea ufafanuzi hizo 12 P, weeeeeeeh mbona alikuwa mdogo namna nilivyozifafanua...... Akajiona box tupu
Sent using Jamii Forums mobile app
Half-baked graduatesMarine Engineering hata mtumbwi kwenu ukerewe unashindwa kutengeneza
Duuh
Political Science Engineering
Ila ni ukweliUzi umepoteza mvuto baada ya kuingiliwa na vijana wa udsm ambao wanaamini chuo ni udsm tu, vingine vyote ni takataka.
Hiyo 3.2 uliipataje? Uliipata kihalali au ulikuwa na bahati mbaya kwamba kuna mahali fulani ulikuwa unawekewa alama za chini kuliko zile ulizopata na ambazo zinazoendana na uwezo wako?Wakifika 3.2 unijulishe
Ha ha ha ha ha ya mzumbe au SUA?Wenye GPA za 32 nao wapewe nafasi, nchi huru hii jamani.
Vijana wanawaza kutifuana tuHutakiwi hata kusoma kichwa cha habari mkuu, 3 years seriously wasted!