Tetesi: TCU imebadili vigezo vya kufundisha Chuo Kikuu

Tetesi: TCU imebadili vigezo vya kufundisha Chuo Kikuu

Bado sijaona point ya msingi kuwa na maGPA makubwa na ile hali elimu yenyewe ni copy and paste.

Unajua kimsingi taaluma ni kipaji, humo vyuoni kuna malecture wanafaulisha watu kwa ushikaji wa kunywa nao vinywaji Bar lakini pia kuna mademu wanatombwa ndipo wanafaulishwa sasa tukiwa tunapima ufanisi kwa kutumia hizo hizo marks nadhani tutafeli pazuri sana na ndio maana siku zinavyozidi kwenda elimu yetu inazidi kudidimia sababu tumekuwa na focus kubwa na manamba na matakwimu na tumeacha ufanisi na productivity.

Kuna watu wana GPA ya 2.8 lakini ni very creative na kuna watu wana GPA 4.5 ila ukiwapa kitendo unagundua ni makasha yasiyo na kazi yoyote....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado sijaona point ya msingi kuwa na maGPA makubwa na ile hali elimu yenyewe ni copy and paste.

Unajua kimsingi taaluma ni kipaji, humo vyuoni kuna malecture wanafaulisha watu kwa ushikaji wa kunywa nao vinywaji Bar lakini pia kuna mademu wanatombwa ndipo wanafaulishwa sasa tukiwa tunapima ufanisi kwa kutumia hizo hizo marks nadhani tutafeli pazuri sana na ndio maana siku zinavyozidi kwenda elimu yetu inazidi kudidimia sababu tumekuwa na focus kubwa na manamba na matakwimu na tumeacha ufanisi na productivity.

Kuna watu wana GPA ya 2.8 lakini ni very creative na kuna watu wana GPA 4.5 ila ukiwapa kitendo unagundua ni makasha yasiyo na kazi yoyote....

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea ukweli mkuu, maGPA si kitu aisee elimu ya chuo kwa hapa bongo ni ya kipuuzi mno.. Mi nina rafik zangu wamesoma TIA na wote wana GPA za kuanzia 3.8 ila ukikaa kuanza kuongea nao ile ki intellectual kuhusu masuala mbali mbali daah utaishiwa nguvu, hamna kitu kabisaa mpk najiuliza hiz A walikua wanapataje..?? Yaan empty kabisaa

Na kuna ma lecturer kibao tu ni vilaza wa hali ya juu, anafundisha vitu ambavyo amekariri uki mchallenge kidogo tu darasani mnakua na bifu.. Na ndio maana ukiwasikiliza wataalamu wetu wa mambo mbalimbali mambo wanayoongea ni kichefu chefu. Mfumo wetu wa Elimu ni wa hovyo saana..

Mtu ukiangalia vyeti vyake na utumbo anaoongea unabaki unashangaa huyu alikua anafaulu vip.?? Kuna siku nlienda kwenye taasisi flani ya kiserikali nikakutana na bro mmoja hv umri wa kati, tukawa tunapiga story kuhusu mambo ya ki uchumi na masuala ya kodi (ndio taaluma nliyosomea) mambo aliyokua anaongea yule bro nilibaki nashangaa mpk nikawa naona aibu, ila nlijiuliza huyu mtu kafikaje hapa na kupewa ofisi kabisaa ikiwa hajui hata anaongea nn.. Yaan mtu kapewa ofisi asimamie masuala ambayo hata hajui.

Hua nikifikiria masuala ya Elimu hapa nchini, naona bado tuna safari ndefu saana.. Bado tupo zama za mawe za kati,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea ukweli mkuu, maGPA si kitu aisee elimu ya chuo kwa hapa bongo ni ya kipuuzi mno.. Mi nina rafik zangu wamesoma TIA na wote wana GPA za kuanzia 3.8 ila ukikaa kuanza kuongea nao ile ki intellectual kuhusu masuala mbali mbali daah utaishiwa nguvu, hamna kitu kabisaa mpk najiuliza hiz A walikua wanapataje..?? Yaan empty kabisaa

Na kuna ma lecturer kibao tu ni vilaza wa hali ya juu, anafundisha vitu ambavyo amekariri uki mchallenge kidogo tu darasani mnakua na bifu.. Na ndio maana ukiwasikiliza wataalamu wetu wa mambo mbalimbali mambo wanayoongea ni kichefu chefu. Mfumo wetu wa Elimu ni wa hovyo saana..

Mtu ukiangalia vyeti vyake na utumbo anaoongea unabaki unashangaa huyu alikua anafaulu vip.?? Kuna siku nlienda kwenye taasisi flani ya kiserikali nikakutana na bro mmoja hv umri wa kati, tukawa tunapiga story kuhusu mambo ya ki uchumi na masuala ya kodi (ndio taaluma nliyosomea) mambo aliyokua anaongea yule bro nilibaki nashangaa mpk nikawa naona aibu, ila nlijiuliza huyu mtu kafikaje hapa na kupewa ofisi kabisaa ikiwa hajui hata anaongea nn.. Yaan mtu kapewa ofisi asimamie masuala ambayo hata hajui.

Hua nikifikiria masuala ya Elimu hapa nchini, naona bado tuna safari ndefu saana.. Bado tupo zama za mawe za kati,

Sent using Jamii Forums mobile app
Inakera sana kiukweli.

Wengi wa wasomi wa bongo ni wameza vitini na point za ubaoni, ila kuchanganua mambo kisomi au kama intellectual huwa uwezo upo chini sana.

Kuna kipindi nikiwa chuoni nikisomea taaluma yangu ya masomo na ujasiria mali, nilimchallenge mwalimu katika somo la marketing, alipokuwa anatufundisha kuhusu zile 4P's za marketing, alipotuuliza kwa kutupoint me nikamwambia zilizopopular ni 4 ila until recently zipo 12 P's darasa zima wakanicheka kicheko cha kunistaajabu kuwa sijui nasema nini sababu wao si walisoma diploma na cheti nimekutana nao degree....

Ticha nae kwa madharau akanipa marker pen niende ubaoni kutolea ufafanuzi hizo 12 P, weeeeeeeh mbona alikuwa mdogo namna nilivyozifafanua...... Akajiona box tupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inakera sana kiukweli.

Wengi wa wasomi wa bongo ni wameza vitini na point za ubaoni, ila kuchanganua mambo kisomi au kama intellectual huwa uwezo upo chini sana.

Kuna kipindi nikiwa chuoni nikisomea taaluma yangu ya masomo na ujasiria mali, nilimchallenge mwalimu katika somo la marketing, alipokuwa anatufundisha kuhusu zile 4P's za marketing, alipotuuliza kwa kutupoint me nikamwambia zilizopopular ni 4 ila until recently zipo 12 P's darasa zima wakanicheka kicheko cha kunistaajabu kuwa sijui nasema nini sababu wao si walisoma diploma na cheti nimekutana nao degree....

Ticha nae kwa madharau akanipa marker pen niende ubaoni kutolea ufafanuzi hizo 12 P, weeeeeeeh mbona alikuwa mdogo namna nilivyozifafanua...... Akajiona box tupu

Sent using Jamii Forums mobile app
kila jambo lina pande 2. inategemea bidii ya mtu na sometimes watu wanaomzunguka. yeye amefanya vizuri kwa kuwa bidii yake ilikuwa kwenye madesa. wengine tunafanya vizuri kwenye maeneo mengine kwa sababu bidii zetu tuliwekeza huko pia. Jambo la muhimu ni wanafunzi kuona umuhimu wa diversification kama wengine tulivyofanya. unakaza class huku ukihakikisha mengine hayakupiti pia. hapa ndipo nilipopata sababu ya kusoma profession zaidi ya moja huku nikiweka bidii ya mengine kujisomea mwenyewe kukuza maarifa.

Halafu kibaya zaidi wasomi wetu hawana muda wa kujiupdate kwa hiyo wanajikuta wamepitwa na wakati.
 
CoET wanatengeneza barakoa re-usable nimeona wameitangaza
 
Back
Top Bottom