Tetesi: TCU imebadili vigezo vya kufundisha Chuo Kikuu

Hiyo 3.2 uliipataje? Uliipata kihalali au ulikuwa na bahati mbaya kwamba kuna mahali fulani ulikuwa unawekewa alama za chini kuliko zile ulizopata na ambazo zinazoendana na uwezo wako?
Daaaaaa mjomba unaidharao 3.2!??? Aisee daa !!any way inategemea na koz uliyosoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…