InasikitishaTCU mtufikirie na ss tuliosoma India tunadharaulika pasipo sababu
😂😂😂😂😂💥💥😂 Dah nimecheka sanaa.Wakifika 3.2 unijulishe
Izo ndio zile tunaitanga GENTLEMEN GPANa mimi wakifika 2.0 nijulishe
Hukujamba wakati unacheka?😂😂😂😂😂💥💥😂 Dah nimecheka sanaa.
Wanao jamba ni kama ww ambao ni below 3.5 GPA classHujajamba?
Vijana wenyewe Hawa hawajitambuiVyuo vilikua vinakosa walimu kwa kweli, hapo sawa, vijana changamkieni fursa
Awali walikuwa ngapi?Wakifika 3.2 unijulishe
Daaaaaa mjomba unaidharao 3.2!??? Aisee daa !!any way inategemea na koz uliyosomaHiyo 3.2 uliipataje? Uliipata kihalali au ulikuwa na bahati mbaya kwamba kuna mahali fulani ulikuwa unawekewa alama za chini kuliko zile ulizopata na ambazo zinazoendana na uwezo wako?
Mishahara ikoje kwa Tutorial Assistance anaye anza?Kwani hivyo vya kata scale ya mshahara iko chini kuliko hivi ulivyotaja?? Scale ile ile
Popote kambi mzee